Kama Nchi tunawasaidizi wakushangilia alisema mkubwa bila kuchimbua kwa undani.
Mradi wa bandari ya bagamoyo,pamoja na yote ukimsikiliza Magufuli anakushawishi uuchimbe mkataba hata kama hujasoma utagundua tu.
Hoja ya Rais Samia inazidisha utata neno wanazungumza ili mradi uendelee,hapo tayari...