marioo

  1. Bongo Flava Battle: Rayvanny vs Marioo

    Now kuna Battle ya hawa Wasanii kati ya Rayvanny VS Marioo. Let discuss here do they deserve to be in Bongo Flavor Battle. Rayvanny Marioo
  2. Hivi huyu Mario ni nani?

    Aisee huyu dogo ni genius wa muziki wa bongo. Nyimbo za vilio vya mapenzi yuko poa. Sikiliza Inatosha na Unanionea utanielewa. Nyimbo za kuruka sikiliza Mama Amina. Nyimbo za kufurahia penzi sikiliza For You Huyu dogo atafika mbali sana narudia tena kusema hili. Naiona nidhamu ya hali ya juu...
  3. H

    Nilijua tu hii ya Marioo ni Kiki

    Hiv karibuni Marioo ameuzishwa na kutaka kujinyonga kisa mapenzi. Na hii Ni baada ya kupost kitanzi bila caption na watu kutafsiri anajinyonga kumbe ametoa wimbo unahusiana na kicho kitanzi. Shida niliyoiona wabongo wanapenda umbeya wabongo ukiwawekea picha tu tafsiri watatoa wao ndio maana...
  4. Marioo unatakiwa Ubadilike sasa sio kila siku nyimbo hizo hizo za kulalamika?

    Wakatia Anaanza alikuwa vizuri, lakini naona sasa toka atoe aya naona ndo vile vile nyimbo zinazofata ni kulalamika kama kwenye Aya, Marioo badilika tunataka sasa utoke nje ya East Africa Nenda Nigeria, Congo, Kuimba una kipaji ila inabidi ujitahidi kuangalia hayo maeneo, pia nyimbo za mapenzi...
  5. Kuhusu Marioo...

    Nimeona Marioo anapewa sifa Sana kias cha kufananishwa na Konde Boy pamoja na Alli Kiba na wengine kwenda mbali zaidi kudai kijana anaweza kuwakalisha vibaya mno hao nguli wa mziki. Binafsi mimi sijamuelewa kivile kiasi cha kumfananisha na Konde Boy au Alli Kiba, sioni Hit Songs za Mariooo za...
  6. Majina ya hovyo kama Marioo, kwa nini yamejaa sana Uswahilini?

    Waswahili ukitunzwa na mke unapewa majina ya hovyo kama Marioo! Hili neno silipendi ni basi tu Wakati mnasema mke mwema hutoka kwa Bwana kwani mwenye kukupa pesa si mwema jamani? au nakosea! Europeans/Indians,Arabs; wanaamini To every successful Men behind there is woman! Africans; to every...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…