Anaandika Mo Mlimwengu.
Historia hutusaidia kujua tulipotoka, tulipo na tunapoenda. Mh Geofrey Mwambe Mbunge wa Masasi Mjini anazidi kujipambanua kiutendaji namna ambavyo anajitahidi kusukuma maendeleo kwenye jimbo lake.
Binadamu tumeumbwa kusahau na kuna wakati mtu akifanya mazuri tunaona ni...