Mfanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa anajutia kutokununua klabu ya Arsenal ambaye ni shabiki mkubwa wa Klabu hiyo kipindi ambacho thamani yake sokoni ilikuwa ni dola bilioni 2 tofauti na sasa ni $4 bilioni.
Dangote alifichua kuwa alikuwa na nafasi kubwa ya...
Mashabiki wa Arsenal nchini Kenya leo wamefanya siku yao ya kitaifa ya maombi kuombea mafanikio ya timu hiyo.
Wafuasi hao hufanya maombi kila mwaka ambayo imekuwa desturi, na kwa kawaida hujitolea kushiriki katika shughuli za hisani ikiwemo kutoa shukrani makanisani na kufanya maombi ya klabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.