✍️Mhadhara (79).
Kama ulikuwa hujui nakuibia hii siri, sikuhizi mashemeji wanatafunana sana. Wanaitana "shemeji" mbele yako, lakini hilo sio jina lao pindi wakikutana wawili.
Utafiti wa uongo uliofanywa hivi karibuni na Mr. Right Marker umegundua sababu mbalimbali za mashemeji wengi mjini...
🤣🤣 kwanza nicheke kiasi.
Umewahi pewa tongozo la haja na shemeji wewe?
Basi kipindi hicho nipo Mwanza kwa dada yangu, mmewe mpole mwenyewe huwezi dhani kama ana mambo ya hovyo, nikiwa nasoma zangu huko SAUT, hivyo ukaribu na shemeji haukuwa kihiiivyo, ila siku zilivyozidi akawa ananijulia hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.