JOBS VACANCY
Clinical Assistant at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS)
Advisor – ART Retention and Community Based Health Service Delivery (6 Posts) at MDH DECEMBER 2021
Advisor – HTS & HIV Prevention Service Delivery (6 Posts) at MDH DECEMBER 2021
Advisor –...
JOBS DAR ES SALAAM
Cargo Sales Officer (2 Posts) at ATCL December, 2021 - New!
IT Support Officer Jobs Vacancy at Watu LTD Decmber 2021
Manager – PMTCT/EID/Pediatric HIV Service Delivery (1 Post) at MDH DECEMBER 2021
PLUMBER II - POSTS at Marine Services Company Limited December 2021
ARTISAN...
Taarifa za Maendeleo ya Uchumi zimeonesha Taasisi za Umma zimeongeza kukopa nje ya nchi ambapo Oktoba 2020, Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Dola Milioni 51.7 (Tsh. Bilioni 119.1) na Oktoba 2021 limekuwa hadi Dola Milioni 509.5 (Tsh. Trilioni 1.174)
Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh...
Kumekuwa na utamaduni mbaya wa bodi nyingi za mashirika ya umma kutokujua wanatakiwa kufanya nini. Bodi nyingi wanaona kuwa mjumbe ni kama biashara ya kupata pesa bure za vikao, kumwendesha mkurugenzi wapate wanachotaka, kuweka watu wao kwenye tenda za vitu mbali mbali. Tumeona hii TPDC...
Wanajamii Forum,
Naomba niwape Salam zanguu wote bila ya kujali ya Rangi ,Kabila na dini. Na baada ya Salamu nisiwachoche maana najua shughuli Mingi mwisho wa wiki kujiandaa kwa mapambano ya wiki nyingine.
Leo nina hoja, kwa hapa nchini mwetu kwa sasa tuna mifuko miwili ya Hifadhi ya jamii...
Serikali imeainisha chaneli tatu maarufu za Upinzani Mitandaoni kama Mashirika yenye itikadi kali, ikimaanisha watu wanaweza kufungwa jela kwa hadi miaka saba kwa kujisajili.
Chaneli katika Mitandao ya Kijamii zilitumika kwa wingi katika kuandaa maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander...
Zamani kuna historia kuwa Mobutu alipoona uchumi unaenda hovyo akaajili mbobezi kutoka Ulaya kuwa gavana wa benki kuu.
Jamaa akaja na mipango mizuri sana ya kuokoa uchumi. lakini alikuta vikwazo kibao, Mobutu alikuwa anaifanya benki kuu kama kibubu chake.
Wakashindwana jamaa akasepa. Mkapa...
Kuna watu wabinafsi na walaku wa mali kupindukia ambao badala ya huo ulaku na ubinafsi kuutumia kutafuta mali zao wanafikiria kupora mali za umma.
Ubinafsishaji wa mashirika mengi ya umma ulifanyika awamu ya mkapa. Yapo yalibinafsishwa vizuri na yapo mengi vigogo waliyapora wala hawakuyaendeleza...
Rais Samia: Nakushukuru Waziri wa Maendeleo ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Uongozi wa baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kunialika kwenye mkutano huu wa mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali nataka nikiri kuwa nimefurahi sana kushiriki katika mkutano huu.
Rais Samia...
JK Nyerere kwa kinywa chake aliwahi kesema (baada ya kustaafu) kwamba alijutia kutaifisha baadhi ya mambo ikiwamo mashamba ya mkonge Sisal estates!!! Kiukweli ukifika kwenye hayo mashamba mfano Tanga, Mwanga, Same nk utaona kweli kuna kitu au uwekezaji ulifanyika hapo.
Ikaja awamu yingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.