mashitaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shabdullah

    Je, naweza kumshitaki aliyekuwa mpenzi wangu kwa kunitapeli tukiwa bado pamoja?

    Habari zenu wanajukwaa. Naomba kuuliza swali kwenu. Je, naweza kumshitaki aliekua mpenzi wangu kwa kosa la kunitapeli kipindi cha mahusiano yetu kwa kitumia uongo kwa lengo la kufanya utapeli huo? Kwa ambao wanaweza kuchangia naomba ufafanuzi?
  2. Q

    Kama Mbowe, Rais mteule wa Zambia Hichelema aliwahi kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi

    Mwaka 2017 Kiongozi wa upinzani nchini Zambia (UPND) Hakainde Hichilema na wafuasi wake watano waliwahi kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi kufuatia madai kuwa msafara wao ulizuia msafara wa rais Edgar Lungu, na hivyo kuyaweka maisha ya rais hatarini. Baadaye mastaka hayo yaligeuzwa kuwa ya Uhaini...
  3. Z

    Kama Mbowe kabambikiziwa kesi, vipi wenzake 3?

    1. Halfani Bwire Hassan 2. Adam Hassan Kasekwa@Adamo 3. Mohamed Abdillah Lingwenya. Hao ndio washitakiwa wanao daiwa kutumiwa na Mbowe kutekeleza vitendo vya Kigaidi na walifunguliwa Mashitaka hayo tangu mwezi wa nane mwaka 2020, tangia hapo hatukusikia popote pale viongozi wa chadema wakidai...
  4. Erythrocyte

    CHADEMA yaiteua tarehe 5 Agosti 2021 kuwa siku ya kupinga mashitaka dhidi ya Freeman Mbowe nchi nzima

    Akizungumza na Waandishi wa Habari wa Mataifa mbalimbali , wakiwemo na waandishi wa Habari wa Tanzania Kwenye ofisi za chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , huko Kinondoni , Katibu Mkuu wa chama hicho Mh John Mnyika , alitangaza rasmi kwamba tarehe 5/8/2021 kuwa siku ya Watanzania wote...
  5. S

    Lissu: Wote waliowahi kubambikizwa mashitaka waliishia kuwa Wakuu wa Serikali

    Hivi ndivyo kaandika kupitia Twitter:
  6. Mlenge

    Kizimbani Sura ya 1: Kukamatwa - Mazungumzo na Bibi Gurubaki - Kisha Bi Basitena

    .
  7. M

    Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

    Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi. Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa Rais Samia tafadhali hakikisha...
  8. B

    DPP mpya Slyvester Mwakitalu ni muumini wa mamlaka ya DPP kunyima watu dhamana, atabadilika?

    Wakili Mwanadamizi Slyvester Mwakitalu ni moja ya Mawakili waliokuwa chini ya DDP aliyepita na ambao walisimama kidete kutete Jamhuri kuhusu watuhumiwa kunyimwa dhamana. Alisimama kwenye kesi ya wakili Mwenzake Tenga katika review ya Mahakama Kuu nakusimamia haki ya watuhumiwa kunyimwa dhamana...
Back
Top Bottom