1. Halfani Bwire Hassan
2. Adam Hassan Kasekwa@Adamo
3. Mohamed Abdillah Lingwenya.
Hao ndio washitakiwa wanao daiwa kutumiwa na Mbowe kutekeleza vitendo vya Kigaidi na walifunguliwa Mashitaka hayo tangu mwezi wa nane mwaka 2020, tangia hapo hatukusikia popote pale viongozi wa chadema wakidai...