A mask is an object normally worn on the face, typically for protection, disguise, performance, or entertainment. Masks have been used since antiquity for both ceremonial and practical purposes, as well as in the performing arts and for entertainment. They are usually worn on the face, although they may also be positioned for effect elsewhere on the wearer's body.
More generally in art history, especially sculpture, "mask" is the term for a face without a body that is not modelled in the round (which would make it a "head"), but for example appears in low relief.
Kitendo cha mabeberu kuanza kuibiana mask inaonekana kuna upungufu mkubwa sana wa mask duniani kwa namna hiyo napenda kuwasilisha mawazo yangu kwa wizara ya afya kuangalia mask za namna hii na kutoa muongozo kwa matumizi ya kawaida ya mitaani na majumbani kama ikioneka zinaweza kufaa HASA KUZUIA...
Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu.
Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
How To Make Face Mask From Tissue paper
Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find.
Protect yourself against any virus or dust particles
.
Here is sharing a great and a simple idea to DIY face Masks.
Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus?
This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO).
The group will weigh up research on whether the virus can be projected further than previously thought; a study in the US...
Afisa wa polisi wa Ujerumani akiwa amevalia barakoa wakati akimkaribia dereva wa gari katika mpaka wa Ujerumani na Uswizi baada ya nchi hiyo kutangaza udhibiti wa mipaka kufuatia ugonjwa wa COVID-19, Machi 16, 2020. [Picha / Mawakala]
Maafisa wa forodha wa Ujerumani wanajaribu kufuatilia...
Anapenda kufahamu. Ni kwamba biashara hailipi Tena au kunani. Maana nikikumbuka week moja iliyopiga kila mtu alikuwa anauza mask na sanitizer sasa sijui na alikuwa ananunua.
Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona.
Serikali kupitia waziri wa...
Ushauri wa Wataalamu wa Afya unaeleza kuwa sio kila aina ya Barakoa (Mask) inaweza kukulinda ili usipate maambukizi ya virusi vya Corona ila Barakoa pekee inayoweza kukulinda ni ya aina ya N95.
Wanasema virusi hivyo vinaingia mwilini kupitia macho, mdomo na pua hivyo njia pekee ya kukinga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.