maslahi ya wafanyakazi

  1. RUSTEM PASHA

    Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

    Sidhani kama Kuna Private energy company inayolipa vizuri kama Puma, na kufata taratibu na Sheria za kazi. Kiukweli Mungu awaweke na kuwapa maisha marefu maboss wa PUMA, nyie nimfano mzuri wakuigwa. Natamani Bakharesa & MO na makampuni mengine yaige namna yakuwapa thaman wafanyakazi wao kama...
  2. Zegota

    Kati ya DP World na TPA nani maslahi mazuri kuzidi mwenzake?

    Habari zenu wakuu. Ningependa kujua Kati ya hizi taasisi mbili nani yuko juu Kwa mwenzake kwenye maslahi ya wafanyakazi.
Back
Top Bottom