Kilwa Masoko is a port town on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. Kilwa Masoko is the current major town of Kilwa District and includes all the hotels in the area as well as a bustling market, beautiful beaches, small fishing communities and is the gateway to the ruins of Kilwa Kisiwani. On nearby Kilwa Kisiwani island there are ancient Swahili ruins which were declared a UNESCO World Heritage Site in 1981.
The hotels in Masoko are spread along the coastline but there is a group close to town on JImbiza beach and the newer hotels are on the beautiful Masoko Pwani.
wadau habarini?
Msaada kwa mtu anaeishi Dodoma, natafuta mtu anaeuza kuku wa kisasa anaetaga mwezi kwa mwezi.
Nahitaji kupata hio bidhaa mara moja.
Kama yupo humu anitafute dm.
Waungwana...
Natumaini Mungu anazidi kutupigania kila siku, na maisha yanasonga.. Niende kwenye mada.. 👇
Ninaomba mwenye kufahamu anisaidie maarifa nitoe tongotongo... maana tunatofautiana uzoefu na access to information.
Biashara ya ukwaju ipoje? Masoko yake yakoje hapa kwetu? Na je taratibu...
Habari wakuu,
Bila kupoteza muda, Nawasilisha ombi langu la ridhaa ya kutafuta masoko na kuuza bidhaa yoyote halali kama vile ardhi,magari, au bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni,taasisi au maduka binafsi kwa makubaliano maalum ya malipo kwa commission ya asilimia kadhaa kadri...
Kwako Mheshimiwa. Samia Suluhu Hassan
Pole na majukumu mama, mtangulizi wako ambaye pia ulikuwa msaidizi wake aliua kabisa matumaini ya wakulima kutajirika
Mama yaani miaka yake(yenu ukiwa msaidizi wake) bei za mazao zimekuwa chini sana wakulima wanaumia wanaonufaika ni wanunuzi(walaji)
Hebu...
"Wizara ya kilimo kuna shida, Mkulima anazalisha mazao yake hana kwa kuuza, Nendeni watafutieni masoko Nje na mkipata masoko ya mazao msiwapangie WAKULIMA waacheni wakauze wenyewe"
Mabalozi wanaoiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nje ya Nchi wameelekezwa kujipanga, kushiriki na kutafuta fursa zitakazowezesha bidhaa mbalimbali za Tanzania kupata masoko ya uhakika katika nchi walizopo.
Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) ni taasisi ya serikali iliyo chini ya Wizara ya Fedha na Uchumi iliyoanzishwa na Sheria ya Masoko ya Mitaji na Dhamana ya mwaka 1994 ili kusimamia na kuendeleza masoko ya mitaji hapa Tanzania.
Majukumu makubwa ya mamlaka hiyo ni pamoja na:-
a)...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ummy Mwalimu amezielekeza halmashauri zote kuwa na miundombinu bora ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka ili kulinda afya za wananchi.
Alitoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Soko la Majengo jijini...
Itakuwa vema sana kwa awamu hii ya mwisho ya Rais Magufuli akaanzisha Gold reserve ili ziwe zinanunua dhahabu na gamestone na kuzihifadhi kama ilivyo kwa wenzetu mabeberu walioendelea faida zipo sitaweka hapa
list of gold reserve in the world...
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo, ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna...
Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza...
Habari Wana JF.
Natafuta mtu mzuri kwa ajili ya Masoko, Mimi n mfanyabiashara Nina kampuni yangu inajihusisha na ku supply bidhaa za chakula Kama unga, Maharage, Mchele, Mbogamboga, Matunda n.k.
Naomba tuwasiliane tuongee zaidi. Napatikana kwa namba hizi 0738-665702.
Napatikana Dar es Salaam
Habari Wadau,
Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo:
Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi
Awe mwaminifu na muadilifu
Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa
Awe na umri kati ya miaka 25-35
Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kuiwekea mbinyo China, sasa Marekani inatarajia kuziondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko ya hisa ya Marekani kwa kutofuata kanuni za ukaguzi wa Marekani.
Kanuni za ukaguzi wa Marekani zinataka kila kampuni inayouza hisa zake Marekani ikaguliwe...
Kwa juhudi zilizochukuliwa na serikali ya TZ katika uboreshaji wa miundombinu ya masoko na vituo vya mabasi ya abiria na thubutu kusema kwa sasa TZ ndio inaongoza kwa kua na miundombinu bora katika nyanja za masoko na vituo vya mabasi ya abiria kwa nchi za East Africa. Ukizingatia project hizi...
Habari wana jukwaa,
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.