material

A material is a substance or mixture of substances that constitutes an object. Materials can be pure or impure, living or non-living matter. Materials can be classified based on their physical and chemical properties, or on their geological origin or biological function. Materials science is the study of materials and their applications.
Raw materials can be processed in different ways to influence their properties, by purification, shaping or the introduction of other materials. New materials can be produced from raw materials by synthesis.
In industry, materials are inputs to manufacturing processes to produce products or more complex materials.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Natafuta mke wa kuoa

    H
  2. Source code ya mahari kubwa ishara unayemuoa sio wife material kwa dunia hii

    Habarini wana JF na mvua za hapa na pale. Jana tumetoka kutoa mahari tukimsindikiza jamaa mmoja ila tulipofika mimi sikujua mahari ila kwa vile sio mambo yangu pale kwenye mahari ilikuwa ndogo kulingana na kipato chake kama alivyokadiriwa. Asilimia kubwa za familia ukiona unawekewa mahari kubwa...
  3. Namna ya kupiga hesabu ya material kwa uhakika

    Habari wakuu. Nimekua nikiona members humu wakiulizia kuhusu idadi ya material kwa nyumba. Sasa kwa ufupi ukitaka kupiga hesabu kwa uhakika unatakiwa kujua 1. urefu (running meter) wa nyumba (yani ukiikunjua nyumba kama kamba itakua na urefu gani). Hii itakusaidia kupata idadi ya tofali za...
  4. S

    Mchumba (wife material) ambaye hawezi kuendesha hata genge kwasabb kutoa chenji hawezi. Je, anafaa kuwa mke?

    Mteja wangu kaniandikia ujumbe ufuatao:- "Kungwi nina mhumba wangu kakulia hapa hapa mjini, siyo mshamba wa mji. Lkn shule aliishia form 2D (nadhani unajua uwezo wa kiakili wa wanafunzi wanaowekwa stream D). Hakuweza kuendelea baada wazazi wake kufariki. Mchumba huyu ana sifa zote, tatizo lake...
  5. G

    We great city material we are inviting the candidates with HR officer credentials

    Position: HR Manager location : Sapphire Complex, Sunbank mabati, Nyerere Road reports to: General Manager Role Purpose The position holder will be responsible to support the Human Resource function both on a day-to-day operational basis and in some aspects of providing technical guidance and...
  6. F

    Mke mwema anahitajika

    Sifa zangu Elimu: degree Kazi: nimejiajiri (phone accessories) Mahali Kanda ya ziwa Umri: 30 Dini: pentecoste SIFA ZA MKE Elimu: kuanzia form 4 Umri: chini ya 30 Dini: mkristo akiwa na vocal ya kuimba itapendeza zaidi Awe mrembo na mwenye shepu yakuvutia NOTE: ASIWE NA MTOTO KABILA LOLOTE...
  7. A

    Wife material only Kanda ya ziwa

    Habari wapendwa wote hapa jukwaani. Najitokeza kutafuta mke wa maisha yangu. Natamani kuwa na familia bora yenye upendo na furaha. Familia bora huanza na mama bora, pamoja na majukumu thabiti ya baba kujali na kutunza / kuhudumia familia yake, bado nafasi ya mama bora kujenga umoja na upendo...
  8. Kwa wamiliki wa hardware je! Mnakopesha material au ni Hawa tu?

    Nipo hapa karibia na hardware,na jamaa anapesa Sana na anamiliki hardware mbili hapa mjini,hapa kawaacha wafanyakazi tu,Sasa siku moja nikawa na piga stoli na mfanyakazi mmoja ,katika kongea akanipa za ndani kabisa kuwa Kuna mfanyakazi kafukuzwa hapo,na namfaham kabisa,kaondoka na daftari la...
  9. S

    Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

    Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote. Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye...
  10. Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

    Wanawake jifunzeni basi, hata kama mme wako nakushirikisha mara chache kwenye deals zangu za biashara usijiweke uhusika ambao sijakupa. Kuna mwanamke nimezaa nae na anakaa kwenye nyumba yangu huko mkoani, mimi nipo zangu hapa Town nimeajiriwa ofisi fulani na nimepanga ila mara kwa mara huwa...
  11. Mwanamke anaweza kuwa mdangaji/golddigger lakini kama ana roho nzuri anaweza kuwa wife material mkadumu till end

    Nimechunguza ndoa za ndugu zangu wengi walionizidi umri, utakuta mama anakwambia mumewe hakuwa kwenye mawazo yake, Alimpenda kijana mwingine, ila imetokea tu ameolewa na mume alie naye sasa baada ya mumewe kuhaso kumpata. Wengine waliolewa kupunguza ugumu wa maisha/kwa kuangalia kipato cha...
  12. Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

    Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material, Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari /...
  13. Mliopo kwenye ndoa naombeni uzoefu wenu

    Hivi kwa mwanamke anayefanya kazi baa au mdangaji anaweza kuwa wife material na akatulia kabisa kwa nyumba?
  14. Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

    Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa. Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi...
  15. Jinsi Ya Kumsahau Ex Wako

    Mtu unayempenda akikuacha inauma. Hasa pale unapokumbuka jinsi ulivyompenda na mlivyokua na furaha. Usiku huwa ni mrefu sana. Ukiwa bado huamini kama ndo mmeshaachana(umeachika) na unaona huna matumaini tena ya kumpata kama yule uliyempenda sana. Unachoka zaidi pale unapofikiria kuanza upya...
  16. Zingatia Sifa Kuu 3 za Mwanamke wa Kujenga naye maisha (wife material)

    Kwanza kabla ya kuangalia sifa za mwanamke, angalia sifa zako kwanza kisha ujitathmini kama unastahili kuwa mwanamke mwenye sifa hizi. Ni muhimu kumpima mwanamke uliyenaye kama anafaa kuwa nawe maishani. Sio uwe naye sababu ndio mwanamke aliyekuonesha upendo. Ndio maana wakati wa uchumba...
  17. N

    Tukutane wanaume tuliowahi kupata “wife material” mpaka leo tunajuta baada ya kuleta wenge

    Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka. Nakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately...
  18. Material ya Sabuni Msaada

    Salaam Naomba Msaada wapi naweza para vifaa vifuatavyo napayikana mwanza. 1. Sodium laural Ether Sulphate(Ungarol) 2. Linear alky benzene sulphonic acid, 3. Coconut diethsnoline (C.D.E) 4. Sodium tripolyphosphate(S.T.P.P) 5. Caustic soda 6. Sodium benzoate 7. PerFumes...
  19. Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

    Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba. Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko. Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea. Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu. Tukaenda...
  20. Hivi ni sawa wife material kuwa fundi kiasi hiki?

    Salaaam... Kwanza kabisa niwe mkweli tu mie nimechakata sana hawa watoto, ila kuna dem mmoja nlikutana nae mtaani nikiwa likizo miaka ya nyuma kdg ), tukazoeana na ndo nikawa nna mpango aje awe mzazi mwenzangu (sio ndoa aisee, kuzaa nae tu tulee hadi tutakapochokana). Nlimchagua yeye kwa sababu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…