Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V.
Tunafanya home Teaching pia.
Tunapatikana TEGETA, Dar Es Salaam.
Mawasiliano: 0782044028(Whatsapp)
0625012562.
KARIBUNI SANA
Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V.
Tunafanya na home Teaching pia
Mawasiliano: 0782044028 (Whatsapp)
0625012562
Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V.
Tunafanya na home Teaching pia
Mawasiliano: 0782044028 (Whatsapp)
0625012562
kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono.
kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
Natafuta kazi nipo mkoa wa Tabora. Pia hata kufundisha masomo ya sayansi ya sekondari yaani Physics, chemistry,computer, na mathematics naweza. Kwa yeyote mwenye connection msaada
Vigezo
1. Jinsia yoyote
2. Ayamudu masomo yote vizuri o level na A level
3. Uzoefu wa miaka kuanzia 2
4. Akiwa muislamu atapewa kipaumbele zaidi.
Kazi haina udalali tuwasiliane hapa <karibukwetutu@gmail.com>
Tuma vyeti yako kwa email hiyo na CV yako.
1. Kitabu kina topics zote Form 1 hadi 4
2. 29 Chapters, 505 pages, full colour.
3. Kila subtopic ina maelezo ya kutosha na kueleweka na ina exercise yake.
4. Kila Topic ina revision exercise ya maswali 50 hadi 100
5. Kuna mitihani 10 ya samples
6. Kuna chapter nzima (maswali 90) ya...
Moja ya inch Bora kabsa kichwani haswaa kwenye sayansi na hesabu ni south Korea.
.
Sadly ni kwamba wanaziliana kwa kiwango kidogo sana hii inapelekea kukosa watu bora kwenye gunduzi mbalimbali hasa za kisayansi
Science mathematics na innovations ziko kwenye risky sana kupoteza hawa jamaa...
Tupumzishe siasa kidogo kwa ku refresh mind with intellect thinking.
Angali common sense kwanini haikubaliki always kwenye maths and other fields of science.
Common sense itakwambia kuwa kila inapoongezeka dot moja, maumbo yanakuwa mara dufu!
Lakini inapotokea dot sita, common sense inakuwa...
Can all the laws of physics be expressed as a set of mathematical equations?
Yes,
Mambo ya kufikirika :D :D :D :D :D :D :D :D :D
Albert Einstein giving a lecture on relativity at a historically black university in 1946. His peers scrutinized him for it and the press ignored it...
Hello ndugu zangu , katka kurudisha fadhila kwa jamii nimepata wazo LA kupost basic mathematics series na advanced mathematics series kila siku ya jumamosi.
Wanafunzi katka vidato husika endapo watafanya mitihani hiyo ni vyema wanitumie mitihani yao PM kwa mfumo was PDF na nitawawasahihishia...
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35%...
Habari zenu wa ndugu,
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho.
Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
1.Anahitajika mwalimu anayeweza kufundisha o level Chemistry na Mathematics
2.Starting salary 400,000/= wakati wa probation ya miezi mitatu
3.Shule iko kibaha
4.Nitumie Cv yako inbox
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.