mathematics

  1. Ubungo Mataa

    Mwalimu wa Mathematics na Chemistry (Levels zote)

    Kama unahitaji home tuition kwa mwanao kwa masomo tajwa hapo juu basi upo mahali sahihi. Nakuja nyumban kwa maeneo yote ya Karibu na Kimara, Mbezi, Ubungo, Kawe mpka Tegeta na Bunju, Masaki, Kurasini Airpot, Goba, Mikocheni n.k DM ipo wazi, Karibu.
  2. Infantry Soldier

    SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya. UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI. Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
  3. Uhakika Bro

    Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

    Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!! Someni hii scientific...
  4. KENZY

    Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

    Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..? Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!. Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu...
  5. Jamii Opportunities

    Mathematics and PE Teacher at Al Muntazir Schools

    The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and it comprises of five Schools spreading over three campuses, providing education at Toddlers, Nursery...
  6. P

    Natafuta kazi ya kufundisha masomo physics na mathematics

    Naitwa Pastory Augustino Nipo morogoro Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee, Level yangu ni diploma
  7. M

    Mtabe wa mathematics na masomo ya science kwa secondary nipo hapa

    Habari za mda huu wadau wa JamiiForums, Mimi ni Kijana. Naishi Dar es Salaam. Natafuta wanafunzi wa kuwafundisha tuition mfumo wa TABLE TEACHING. MASOMO YA KUFUNDISHA O-level : Physics, Chemistry, na Basic Mathematics. A-level : Advanced Mathematics pekee OMBI Ewe mdau hususan wazazi/walezi...
  8. politicians

    Mathematics lovers,wapenda hesabu vitabu vinauzwa

    Habari wadau,kwa wale wapenda hesabu tuna vitabu tunauza kwa bei rahisi Tsh.30000/=,vyote hivyo,tucheki 0687234549.
  9. The Genius

    Natafuta kazi, nina Bachelor ya Statistics, Research and Mathematics

    Wakuu Salaam, Nina Bachelor ya Statistics, Research and Mathematics. Ninatafuta kazi yoyote ile. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM
  10. Mkaruka

    Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

    Hawa wasomi wanashangaza. Hivi ninyi ni walimu?🤣 Hivi taaluma yenu mnaijua kweli. Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ? Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣 Anyway, mimi sijui.
  11. Teargas

    Tanzania is planning to take their Mathematics teachers back to school

    This is because they don't understand most topics in mathematics hence resulting in students mass failure in mathematics exams. Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la hesabu. Hatua hiyo ni baada ya Serikali...
  12. Jamii Opportunities

    Physics & Mathematics Teacher at Grace Secondary School

    Position: Physics & Mathematics Teacher Overview Job Category: Education/ Academic/ Teaching Job Type: Full-Time Duty Station: Coast Region Posted: 14th April, 2021 No of Jobs: 1 JOB DETAILS/DESCRIPTION: Grace Secondary School is seeking professional, hard-working and qualified teacher with...
  13. F

    Nafasi za kazi kwa wahitimu wa masters degree in Physics, Chemistry, Biology & Mathematics

    Jamani tunaomba msaada wa kuwapata watanzania wahitimu Master degree in Physics, Chemistry, Biology and Maths kufundisha undergraduates, Stella Maris Mtwara Univ. College. First degree awe amesomea somo hilo, mfano chemistry, biology etc. Awe ana mimimum GPA ya 3.5 @ 1at degree & 4 @ M. Sc...
  14. Petro E. Mselewa

    Matokeo Kidato cha Nne 2020: Siku hizi hakuna 'penati' za Civics na Basic Mathematics?

    Wakuu, nawasalimu! Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16. S............ F 16 I CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY -...
  15. Makanyaga

    Kitabu hiki hapa: Advanced Engineering Mathematics 10th Edition By ERWIN KREYSZIG (pdf)

    Ni kwa ajili ya watoto wote wanaosoma degree za B.Sc. Engineering.... na B.Sc. (Mathematics,....) MUBARIKIWE NA BWANA
  16. Relief Mirzska

    Mwalimu wa Mathematics anahitajika Zanzibar

    Kwa mara nyingine nawaletea tena fursa hii adhimu. Tunahitaji mwalimu wa somo la Mathematics (preferably male) ambae atafundisha primary school iliyopo Zanzibar. Shule ina mazingira mazuri sana ya utendaji kazi. Working hours: 8 hours per day Number of students in the class: Not more than 24...
  17. A

    Quantity survey Vs mathematics and statistics

    Sorry wakubwa wang wa jf nimebahatika kuchaguliwa kozi za science in quantity survey and construction economics pal ardh pia science ya mathematics and statistics pale udom..kozi zote nazipenda na pia nazikubali but nilikua naomben ushaur zaid ipi iko poa zaidi hapoo kwa mwenye uelewa zaidi...
  18. Mwamba1961

    Mwalimu wa Hesabu na Fizikia anahitajika

    Habari wana JF, Shule ya sekondari ya ST. MONICA WINO GIRLS inatafuta mwalimu wa Physic na mathematics.. Andika Barua ya maombi na uambatanishe wasifu wako CV kwenda: OFISI YA MKUU WA SHULE, SHULE YA SEKONDARY ST. MONICA WINO GIRLS, S. L. P 69, MADABA. au stmonicawino2019@gmail.com au...
  19. robbinhood

    A. J. Sadler, D.W.S.Thorning - Understanding Pure Mathematics (1987, Oxford Up Education)

    Understanding pure mathematics
  20. Ngareroo

    Sitosahau nilikua ridiculous darasani lakini binti alinikubali baada ya kupata 'A' Mathematics

    Habari za muda huu wakubwa, I hope mko fresh kabisa, safi kama safi, safi kama poa, Poa kama good, Hivi kama hivi yaani..Anyways acha niende direct kwenye mada. Bas bhana kuna teacher mmoko enzi za Masekondari uko ambae siezi msahau alikua na wenge shazi pia alikua hodari kinyax kwenye...
Back
Top Bottom