matukio ya shuleni

  1. Extrovert24

    Tujikumbushe kidogo Wakati watu wako shuleni

    Habari WanaJf, Nimekumbuka Wakati huo shuleni mwalimu anakuchapa viboko, we ukilia anakwambia aaah unanizomea sindio😂😂 Na wengine ukishika tu nafuta naanza mwazo, iyo sihesabu.. Daah maticha bhn sometimes wanaona Raha wanavyopiga fimbo raia
Back
Top Bottom