matumizi mabaya ya fedha za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KiuyaJibu

    Hii Taarifa ya Tanzania kutumia bilioni 558 kununua magari imekaaje?

    Kama kweli Serikali inanunua magari mpya (brand new); kuna ulazima wa kutumia kiasi chote hicho kununua magari kila mwaka; wakati gari jipya lina warranty ya miaka mitano.
  2. Mangi Meno

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa wa Halmashauri ya Kilolo kwa Tuhuma za Matumizi Mabaya ya Fedha za Umma

    IRINGA - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Emanuel Sigachuma, na Ofisa Elimu Sekondari wa halmashauri hiyo, Nelson Milanzi, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili na kuwafikisha mahakamani. Wawili hao, pamoja...
Back
Top Bottom