matumizi ya choo

  1. Angyelile99

    Kutomwaga maji chooni kabla ya kujisaidia haja ndogo, imekaaje?

    Kumekuwa na katabia kwa vyoo vya public mtu anaingia kujisaidia hasa haja ndogo hamwagi maji kabla ya kujisaidia bali akisha maliza haja yake ndo humwaga maji. Hivi hii kiafya imekaaje
Back
Top Bottom