mavazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Epuka Mavazi yafuatayo unapoenda kwenye Usahili 'interview'

    Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k Nywele zenye rangi rangi Manukato yenye harufu kali 'Makeup' nzito Usivae mavazi yanayokuonesha upo kawaida sana 'casual' Acha 'headphones' zako nyumbani Utavaa mavazi tajwa hapo juu ikiwa tu aina...
  2. careenjibebe

    Mavazi ya Mama yetu Rais Samia

    Natamani mama angeanza kutupia mavazi yanayoenda na fasheni ya marais. Yaani vazi flani hivi traaamu sana kiasi kwamba mtu akimuona tu anajua kweli huyu MAMA WA TAIFA. Kama leo yupo UGANDA na vile amevaa barakoa nilitaman amechishe zake na gloves kwasabu hata hivo UG kuna kiubaridi, angepiga...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Ni mavazi gani ukimwona kijana amevaa yanakutambulisha kuwa ni shoga?

    Habari zenu? Mashoga wengi huku Temeke wanavaa pensi za jinzi . Mara nyingi hizi pensi zao zinakuwa na sifa zifuatazo; - Fupi (hazivuki magoti) - Zinabana mwili - Zimetoboka au kuchanika mapajani. Sasa Mimi nimeanza kuconclude kuwa kila kijana ninayekutana naye barabarani amevaa hivi najua ni...
Back
Top Bottom