Kifo ni sehemu ya kila mwanadamu, ni sherehe ya mwisho. Kutokana na ongezeko la watu kuga dunia, wanafamilia hujichanga na kupendelea sherehe ya mwisho ya mpendwa wao itafana kiasi gani.
Watu wa vijijini nyakati hizi wanapenda kufanya maziko ya kifahari hasa mikoa yenye watu wanaojua kutafuta...