maziko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mohamed Said

    Maziko ya Abdulwahid Sykes 1968

    MAZIKO YA ABDULWAHID SYKES 1968 Mazishi ya Abdulwahid Sykes yalifanyika siku ya Jumapili tarehe 13 Okrtoba, 1968. Mazishi yake yalikuwa makubwa yasiyo kifani. Ukitoa mazishi ya mwaka wa 1950 ya Sheikh Idrissa bin Saad, muasisi na Khalifa wa Tariqa Askariya na mazishi ya Sheikh Kaluta Amri...
  2. Mohamed Said

    Iweje CCM hawakuwapo katika maziko ya Abbas Sykes?

    IWEJE CHAMA CHA MAPINDUZI HAWAKUPO KATIKA MAZIKO YA ABBAS SYKES? Hukaa mara nyingi sana nikajiuliza na si katika kujipigia tarumbeta bali ni katika kufikiri kuwa ingekuwaje kama Kleist Sykes asingeandika historia ya maisha yake kabla ya kufariki kwake mwaka wa 1949. Mzee Kleist katika mswada...
Back
Top Bottom