The Mazingira Green Party of Kenya is a Kenyan green party. It was formerly known as Liberal Party of Kenya (LPK). At the 1997 Kenyan General Elections LPK fielded a presidential candidate, Wangari Maathai, who later became a Nobel Peace Prize laureate. Maathai was only a minor candidate. She did not win a parliamentary seat. In 2002, the next general elections were held and the Maathai-led party was part of the victorious NARC coalition. Maathai herself won the Tetu Constituency parliamentary seat.At the Kenyan general election, 2007, Mazingira was part of the newly created Party of National Unity led by President Mwai Kibaki. However, Mazingira also fielded own candidates. Mazingira won one parliamentary seat at the elections, after Silas Muriuki beat PNU candidate David Mwiraria to clinch the North Imenti Constituency parliamentary seat. Maathai was first outvoted at the PNU primary elections and therefore vied on Mazingira ticket, but at the parliamentary elections lost again to the PNU candidate.
The word Mazingira is Swahili for environment.
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.
Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.
Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali...
Ukosefu wa ajira ni miongoni mwa changamoto sugu ulimwenguni kama taifa yatupaswa kuwa na mikakati mipya na endelevu kupunguza ukosefu wa ajira nchini.
Bendera ya Tanzania.
Kila mwaka mamia ya wahitimu wanatunukiwa vyeti vya kuhitimu katika kozi mbalimbali kutoka vyuo vya ndani na nje ya nchi...
Je, Tanzania inahakikisha vipi maendeleo yanaenda sambamba na uhifadhi wa mazingira kwa ajili ya kizazi cha sasa na baadaye?
Kuhusu swala la Tanzania na maendeleo na uhifadhi mazingira ili liwe halisi inabidi;
(a)kwanza serikali ihamasishe wananchi kutumia gesi kama nishati bora kwa matumizi ya...
Utangulizi
Tanzania ina hazina kubwa ya maliasili na rasilimali watu ambayo inaweza kutumika kuleta maendeleo endelevu. Katika miaka 5, 10, 15, na 25 ijayo, tunaweza kuona mabadiliko makubwa ikiwa tutaweka mkazo kwenye mazingira na uongozi bora. Hili andiko linaangazia maono ya kibunifu kwa...
Mazingira ni vitu vyote vinavyotuzunguka venye uhai na visivyo na uhai kama nyumba,mimea,watu,wanyama,hewa nakadhalika.
Mazingira machafu yanaweza kuongeza usambaaji wa magonjwa ya mlipuko kwa sababu zifuatazo÷
1. Mavi, hiki ni chanzo kikuu cha usambaaji wa magonjwa kama kipindupindu,kuhara na...
Utunzaji wa mazingira na maliasili zetu kwa kizazi kijacho.
Serikali kwa ujumla imekuwa ikiweka mikakati mbali mbali na uundwaji wa sera zitakazowezesha utunzaji wa mazingira na maliasili tulizonazo na kwa hakika wana mipango na sera nzuri japo changamoto kubwa ikionekana kuwa ni...
Salamu wanajamvii
Mabadiliko ya kimiundombinu au miji ni sehemu pia inayogusa mazingira yanayotuzunguka moja kwa moja.
Nikigusa moja kwa moja kwenye jiji ambalo nipo na limefanya niwasilishe kero/tatizo/kadhia hii ambalo ni jiji la Dodoma kuna tatizo kubwa la utunzaji wa taka.
Utaratibu wa...
Kama nchi itunge na kusimamia sheria ya maziko itakayokataza kuzika watu kwenye makaburi ya zege kuanzia chini mpaka juu. Haina hii ya mazishi inaathari kubwa kwenye mabadiliko ya tabia ya nchi ukizingatia binadamu tunakula mazao ya ardhini, tunakula wanyama wanaokula vya ardhini. Kitendo cha...
Tunapotarajia mustakabali wa Tanzania, ni muhimu kutengeneza dira ya kina na ya mbele inayoshughulikia sekta mbalimbali kama vile elimu, afya, teknolojia, uchumi, mazingira na miundombinu. Lengo ni kuunda taifa lisilojitegemea tu bali pia kiongozi katika ubunifu na maendeleo endelevu. Dira hii...
Tanzania, nchi iliyobarikiwa kuwa na mifumo mbalimbali ya ikolojia na maliasili nyingi, inakabiliwa na changamoto kubwa za kimazingira. Ukataji miti, unaochochewa na mahitaji ya kuni kama nishati na kwa ajili ya upanuzi wa kilimo, ni suala kubwa. Dira hii inaangazia mbinu mbalimbali za...
Wakuu ni takribani wiki kadhaa nilkuja na uzi wa kuhamia mwanza, niseme tu ukweli tangu nimefika hapa jijini sijawahi kupaelewa katika harakati zangu.
Mbaya zaidi sehemu nilipokuepo mwanzo nishaondoa rasilimali zote nikahamishia huku.
Kila kitu naona hakiendi, mtaji niliokuja nao naona unazidi...
Tarehe tano (5) mwezi juni kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya mazingira ikiwa lengo lake ni kuleta pamoja mamilioni ya watu duniani kote na kuwashirikisha kwenye jitihada za kutunza na kuboresha Dunia kupitia mazingira yao. Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine duniani huchukulia umuhimu...
Nishati mbadala ni nishati inayotokana na vyanzo vya asili ambavyo havikomi au vinaweza kurejeshwa haraka, kama vile jua, upepo, maji, na vyanzo vya jotoardhi. Hii ni tofauti na nishati inayotokana na mafuta ya kisukuku (fossil fuels) kama vile makaa ya mawe, mafuta, na gesi, ambayo yana...
Utunzaji wa mazingira ni muhimu katika maendeleo ya taifa ili kufikia Tanzania tuitakayo ni vyema serikali,jamii na wadau kusimama kidete katika kupinga uharubifu wa mazingira kwa kufanya mambo yafutayo.
Je jamii inajua kama suala la kulinda na kutunza mazingira ni jukumu lao au la serikali...
Mazingira ni kitu Chochote kinacho mzunguka mwanadamu mfano mito milima na mabonde,bahari,misitu n vitu vingi sana vingi. Ila katika hayo mazingira pia yako mazingira ya kubuni n yako mazingira ya asili kabisa aliyo tupa mwenyezi Mazingira tukiyapenda yatatu tunza pia.
Kwenye mazingira yetu ya...
MAKAMU wa Rais, Dk.Philip Mpango amezindua chapisho la utafiti wa hali ya mazingira ya Pwani na Bahari Tanzania Bara huku akiagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuangalia mapungufu ya kisheria yanayosababisha kukosa nguvu katika usimamizi wa usafi wa mazingira ili...
JACKSON MMARI (Taasisi ya WAJIBU): Utafiti wangu niliofanya nimebaini tatizo la Rushwa linaanza na muono wa Mwananchi mwenyewe, mazingira yanaonesha anakuwa hatarini kutoa Rushwa kutokana na mazingira na tabia yake
Huku mitaani kuna tabia nyingi ambazo zinafanyika mtu anakuwa anajitengenezea...
Apongezwe huyu mama alieamua kutumia nishati Safi ya umeme katika biashara yake ndogo ya chips ili kujikwamua kiuchumi.
Umuhimu wa nishati Safi ni.
. Huokoa muda katika kuhudumia wateja.
. Huifadhi mazingira na kuwa Safi na nadhifu.
. Mfano umeme huliongezea pato shilika la umeme Tanzania...
Tanzania ya Kijani inawezekana
Yafuatayo yaweza fanyika katika Sekta ya Mazingira:
Tanzania ina ukubwa wa takribani Km za mraba 945,087. Ni moja ya nchii liyojaliwa kwa ukubwa ardhi yenye rasilimali nyingi, maliasili na hifadhi nyingi za wanyama, misitu, maziwa na maeneo asili ambayo yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.