Ajali ya jana imesababishwa na mazoea, vifo vya jana vimetokana na mazoea. Ule Uwanja hauna Taa za pembeni. Hauna Aproach Tower
Uwanja hauna Zima Moto
Rubani pale anatua kutokana na uzoefu wake, yawezekana huyu Rubani alikuwa mzoefu wa kutua katika hiyo hali, ila jana haikuwa siku yake.
Ajali...