mbappe

Kylian Mbappé Lottin (born 20 December 1998) is a French professional footballer who plays as a forward for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the France national team.
Mbappé began his senior career with Ligue 1 club Monaco, making his professional debut in 2015, aged 16. With them, he won a Ligue 1 title, Ligue 1 Young Player of the Year, and the Golden Boy award. In 2017, he signed for league rivals Paris Saint-Germain on an initial loan, which was made permanent in 2018 in a transfer worth €180 million plus add ons, making him both the second-most expensive player and most expensive teenager. There, Mbappé won three Ligue 1 titles, three Coupe de France titles, was named Ligue 1 Player of the Year twice, and has finished as Ligue 1 top scorer for three consecutive seasons. He is also the third-highest goalscorer in the club's history.
At international level, Mbappé made his senior debut for France in 2017, at age 18. At the 2018 FIFA World Cup, Mbappé became the youngest French player to score at a World Cup, and became the second teenager, after Pelé, to score in a World Cup Final. He finished as the joint second-highest goalscorer as France won the tournament, and he received the Best Young Player and French Player of the Year awards for his performances.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Kylian Mbappé na Mgogoro Wake katika Real Madrid

    Kylian Mbappé, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa soka duniani, amekuwa katika hali ngumu tangu kujiunga na Real Madrid akitokea PSG. Licha ya uzoefu wake mkubwa na uwezo wake wa kuamua mechi, amekuwa akipitia kipindi kigumu cha kutengeneza matokeo katika timu yake mpya. Kuhama kutoka klabu kubwa...
  2. Mkalukungone mwamba

    Mbappe ashtushwa na taarifa zinazomhusisha na ubakaji uliotokea nchini Sweden

    Nahodha wa timu ya Taifa ya Ufaransa Kyllian Mbappe ameeleza kushtushwa kwake na taarifa zinazomhusisha na ubakaji uliotokea nchini Sweden. Mamlaka nchini Sweden zimethibitisha kuwa upo uchunguzi unaoendelea kuhusu tukio la ubakaji lilitokea kwenye hoteli iitwayo Bank , Oktoba 10. Vyombo vya...
  3. JanguKamaJangu

    Deschamps ashangaa Mbappe kuipotezea Ufaransa upande wa pili akubali kuichezea Real Madrid

    Kocha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps amesema ameshangazwa na uamuzi wa Kylian Mbappe kuomba kupumzishwa katika Timu ya Taifa ili awe fiti baada ya kupona majeraha lakini mchezaji huyo ameonekana akicheza klabu yake ya Real Madrid. Mbappe (25) alipata majeraha ya thigh injury...
  4. U

    Mchezaji Kylian Mbappe atambulishwa rasmi katika klabu ya Real Madrid, mashabuki 80,000 wakata tiketi kushuhudia

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini: “Nimetamani kwa miaka mingi kucheza Real Madrid na leo ndoto yangu imetimia" "Nina furaha sana. Nataka kumshukuru Rais Florentino Perez. Ninaona familia yangu yote hivi sasa, na mama yangu ambaye analia." ©️ Kylian Mbappe Akiongea baada ya...
  5. Richard3

    Mbappe apata jeraha puani

    Kylian Mbappé’s nose. 😫🇫🇷 Get well soon! --- Kylian Mbappe was forced off during France's opening Euro 2024 match against Austria after suffering a nasty injury to his nose while attempting a header late on. Mbappe went up for a header late in the second half but only succeeded in accidentally...
  6. Nyendo

    Club ya Real Madrid imetangaza rasmi kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano

    Club ya Real Madrid ya Hispania imetangaza rasmi kuwa imefikia makubaliano ya kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano. Mbappe anajiunga na Real Madrid baada ya kucheza PSG kwa miaka 7 toka pale alipojiunga nao 2018 akitokea Monaco kwa uhamisho wa euro milioni 180 ambapo hadi...
  7. M

    Yupo ni mbappe wa kweli

    Mchezaji wa zamani wa PSG, Kylian Mbappe siku ya Mei 16, 2024 huko Paris nchini Ufaransa, alizindua sanamu lake katika Nyumba ya Makumbusho ya Madame Tussauds, na kuzua gumzo kutokana na kufanana kwa kiasi kikubwa na mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa. Wakati wa hafla hiyo iliyohudhuriwa...
  8. L

    Ni ujinga na ulofa kuwashindanisha Chama na Pacome

    Naona leo baada ya mnyama kushinda na Chama kuonyesha kiwango cha hali ya juu, mitandao ya kijamii imekuwa ikihoji nani mkali baina ya Chama vs Pacome. Hii inanikumbusha miaka ile ya 1990 ambapo mashabiki wa Simba na Yanga walikuwa wanabishana nani mkali kati ya Athuman Abdallah China wa Yanga...
  9. Suley2019

    SI KWELI Video ikimuonesha Mbappe akicheza mpira na Roboti

    Salaam Wakuu, Nimekutana na Video ikimuonesha mchezaji wa PSG Kylian Mbappe akicheza mpira na Roboti. Kuna ukweli kuhusu video hii? Tunaombeni ufafanuzi. Video iliyosambaa mtandaoni
  10. Idimi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
  11. Teko Modise

    Hivi ndio mlikuwa mnamlinganisha Rashford na Mbappe?

    Wale wote mliosema Rashford yupo kwenye levo za Mbappe njooni tena mumjadili jamaa yenu. Rashford amekuwa na fomu mbaya sana na kubwa zaidi ni sehemu ya anguko la ten Hag. Mje mumtetee jamaa yenu.
  12. BARD AI

    Al Hilal kuvunja Rekodi ya Dunia, yatenga Tsh. Bilioni 812 kumnasa Mbappe

    Kwa mujibu wa AFP, Klabu ya Paris Saint-German imeruhusu Al Hilal ifanye mazungumzo na mshambuliaji Kylian Mbappe baada ya kuweka mezani dau hilo ikiwa ni siku chache zimepita tangu itume barua ya kuhitaji saini ya nyota huyo. Mbappe aliyebakiza mwaka mmoja wa kuendelea kuitumikia PSG, amedaiwa...
  13. GENTAMYCINE

    Azam FC sajilini hata akina Messi, Ronaldo, Mbappe na Haaland, ila hamuwezi Kuchukua Ubingwa wowote ule

    Mpaka mkichana na Kusajili Virusi wa Simba na Yanga huku pia mkiwa na Viongozi Waandamizi wenye Uyanga na Usimba mwingi. Ninawashangaa mno mnavyosajili.
  14. FK21

    Kwa roho mbaya aliyonayo Mbappe hatadumu katika career yake

    Ukisikia madaraka ya kulevya kweli bwana mdogo kayaonesha. Nimeangalia short clip videp dogo aki block mipira mazoezini isimfikie Messi kwa kuipiga nje, kila anapotaka kupasiwa Messi anawahi anapiga mbali. Kiukweli Messi alijisikia vibaya sana, au dogo aliumia sana kufungwa final na Argenting...
  15. Izy_Name

    Kylian Mbappe Kuiongoza Ufaransa

    Kylian Mbappe ndiye mshambuliaji aliyechaguliwa kuwa mbadala wa Hugo Lloris ambaye alistaafu kuchezea timu ya taifa Januari 2023, mwezi mmoja baada ya Ufaransa kupoteza Kombe la Dunia kwa Argentina. Mbappe ataanza kazi yake ya unahodha katika kikosi kwa mara ya kwanza itakuwa Ijumaa, Machi 24...
  16. Execute

    Kylian Mbappe afananishwe na akina Vinicious Jr, Bukayo Saka, Phil Foden na Gabriel Martinelli

    Nimewaangalia hawa vijana na kuona wanafanana kwa vitu vingi, hawa ndio walinganishwe pamoja. Sio sahihi kumlinganisha Mbappe na mentor wake pale PSG (ambaye ndio mfalme wa football) au yule mzee asiyekuwa na timu. Hawa madogo wote ni mafowadi wanaocheza pembeni na hata katikati inapobidi, wako...
  17. Execute

    Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

    Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo. Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
  18. Mwande na Mndewa

    Kolo Muani na Kylian Mbappe watimiza matakwa ya mizimu ya babu zao waliolala Cameroon na Congo

    Jana mchana niliposema Waafrika tulimtuma Kolo Muani kuwapiga kibao Morocco kwa kusema wao sio waafrika na leo tunamtuma Kylian Mbappe kuwapiga ngumi Argentina ilionekana ni kama jambo jepesi lakini lilibeba maana nzito ya kiulimwengu! Waargentina waliwatesa Waafrika miaka ya 1870 hadi 1900 na...
  19. Mama Edina

    Kama alioutumwani Messi na mbappe ndugu yako ni Messi endelea

    Wabongo washamba sana. Ibakie tuwashabiki na Mpira umeisha nilikuwa upande wa mfaransa wewe ajentina usiingize masuala ya utumwani Kwa kuwa kama alioutumwani Messi na mbappe ndgu yako sio Messi. Unaliona lijitu linafanana kabisa copyright na Upemakano yaani utadhani baba na mama mmoja Ile Toka...
  20. BARD AI

    Ni Messi vs Mbappé fainali ya FIFA World Cup leo, Unampa nani kete yako?

    #FIFAWorldCup2022: Ni Desemba 18, 2022 Dunia itashuhudia Fainali za Kombe la Dunia lililoanza Nov 20, 2022 huko Qatar kwa kuzileta pamoja Timu za Mataifa 32 zilizomenyana kwa jumla ya Mechi 64. Leo katika Dimba la Lusail Stadium, Al Daayen watakutana Mabingwa mara 2 wa #KombelaDunia Timu za...
Back
Top Bottom