mbappe

Kylian Mbappé Lottin (born 20 December 1998) is a French professional footballer who plays as a forward for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the France national team.
Mbappé began his senior career with Ligue 1 club Monaco, making his professional debut in 2015, aged 16. With them, he won a Ligue 1 title, Ligue 1 Young Player of the Year, and the Golden Boy award. In 2017, he signed for league rivals Paris Saint-Germain on an initial loan, which was made permanent in 2018 in a transfer worth €180 million plus add ons, making him both the second-most expensive player and most expensive teenager. There, Mbappé won three Ligue 1 titles, three Coupe de France titles, was named Ligue 1 Player of the Year twice, and has finished as Ligue 1 top scorer for three consecutive seasons. He is also the third-highest goalscorer in the club's history.
At international level, Mbappé made his senior debut for France in 2017, at age 18. At the 2018 FIFA World Cup, Mbappé became the youngest French player to score at a World Cup, and became the second teenager, after Pelé, to score in a World Cup Final. He finished as the joint second-highest goalscorer as France won the tournament, and he received the Best Young Player and French Player of the Year awards for his performances.

View More On Wikipedia.org
  1. Championship

    Bukayo Saka na Gabriel Martinelli watabeba tuzo ya Ballon D'or kabla ya Kylian Mbappe na Erling Haaland

    Kiwango cha soka kinachooneshwa na vijana hawa wawili, Saka na Martinelli kinavutia na kudhihirisha kwamba wako makini na kazi yao. Kwa miaka mitatu iliyopita tumeona vijana hawa wakipikwa na kuwa mawinga hatari sana katika Klabu ya Arsenal. Kiwango chao cha kujituma na nidhamu kinaonesha hatma...
  2. JanguKamaJangu

    Uhusiano wa Mbappe na PSG wazidi kuharibika

    Kylian Mbappe inadaiwa anaweza kuvunja mkataba na klabu yake ya Paris-Saint Germain ikiwa uhusiano utazidi kuwa mbaya kutokana na kutofurahishwa na baadhi ya mambo. Mvutano huo inaelezwa umesababisha baadhi ya wachezaji wenzake kumtenga wakiamini tabia yake inaweza kutengeneza sumu kikosini...
  3. ESCORT 1

    Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

    Haaland kwa moto wake, namuona kabisa akitwaa Ballon d'Or kabla ya Mbappe. Wewe mtazamo wako upoje?
  4. BARD AI

    Cristiano Ronaldo aongoza orodha ya wachezaji wenye gharama na ushawishi duniani

    Wakati Kombe la Dunia likibakiza miezi miwili kuanza, tayari inaonekana nyota wa Ureno na Manchester United Cristiano Ronaldo ataingia kwenye michuano hiyo akiwa mchezaji mwenye nguvu zaidi duniani kwa kuzingatia ushawishi wake kwenye mitandao ya kijamii. Ronaldo amewapiku mastaa wengine kama...
  5. The Boss

    Mbappe ageuka gumzo Kwa kumvunjia adabu Messi

    Wayne Rooney kashangaa Mbappe anatoa jeuri wapi ya kumletea ujeuri Messi wakati Messi alipokuwa umri huu wa Mbappe alikuwa na Ballon d Or nne? Naona Mbappe anazidi kuongeza maadui, hata Perez alisema huyu Mbappe sio yule tulikuwa tunamtaka.
  6. sky soldier

    Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

    Hapo majuzi, timu kubwa ufaransa ya PSG ilienda kucheza mechi huku wachezaji maarufu wa dini kuu mbili wakiwa wamevaa jezi za kuhamasisha na kuutetea ushoga na usagaji lakini kuna mchezaji moja Idrissa Gueye alikataa kuvaa hizo jezi akilalamika ni kinyume na anachoamini Hili suala si la kidini...
  7. C

    He is a Captain of Messi, Ramos, Neymar, Mbappe who is he?

    Just a Reminder, Marquinhos will Remain PSG's Captain for 2021-22 Season. ©️😎 He will be The Captain of: — Lionel Messi 🐐(Former Barça Captain & Current Argentina Captain) — Sergio Ramos 🐐(Former Real Madrid Captain & Current Spain Captain) — Neymar Jr — Kylian Mbappe — Angel Di Maria —...
  8. Suley2019

    Kimeumana! Mbappe hataki kusaini mkataba mpya PSG, Real Madrid wadaiwa kumshawishi

    Hakuna maelewano mazuri kati ya Viongozi wa Real Madrid na PSG mpaka sasa, PSG wakiwashutumu Madrid kumlaghai kijana na ndio sababu amegoma kusaini mpaka sasa. Taarifa za leo asubuhi ni kuwa, msimamo wa Mbappe upo palepale licha ya Messi kusainiwa ila yeye anahitaji kuondoka kujiunga na Real...
Back
Top Bottom