mbeya city

Mbeya City Council Football Club, is a Tanzanian football team playing in the Tanzanian Premier League. The team was established in 2011 in Mbeya City which is in the Southern Highlands of southwest Tanzania.
Mbeya City FC is known by the names of Green City Boys, Purple Tigers and Jacaranda Warriors. Their home jersey is purple and white. The 20,000 capacity Sokoine Stadium is their home stadium.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Hongereni sana GSM Yanga SC kwa kuamua kuwapokea Mbeya City FC

    Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Uzi maalum wa mashabiki wa Mbeya City FC

  3. S

    Kama Simba iilivyoangukia pua mbele ya Mbeya City leo, ndivyo ambavyo siku ya siku, chama dola kitaanguka kutoka madarakani hata wakibebwa na dola

    Leo tumeona jinsi Refa alivyojitahidi kuwabeba Simba lakini haikusaidia. Kama ilivyotokea kwa Simba, ndivyo itakuja kutokea kwa chama dola siku ikifika ambapo hata wakibebwa, mwisho wa siku waatanguka tu na kuachia madaraka. Siku hiyo ikifika, itakuwa hivi: Nguvu ya umma itakuwa kama wachezaji...
  4. ESPRESSO COFFEE

    Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

    Chama is Back, Triple C is Back. Baada ya Mechi Ya Mwisho kucheza akiwa Morocco na Kuwa MAN OF THE MATCH. Leo Anarejea Tena, zamu hii Akiwatumikia Simba Sc Dhidi ya Mbeya City. Nini atawapa Wana Simba Sc ni Jambo La kusubiri. Baada ya kutwaa ubingwa wa mapinduzi Mnyama, Simba SC anarejea...
  5. maroon7

    Mbeya kwanza ndio Mbeya city?

    Wakuu mi ni mshabiki wa mpira wa wastani kwa hiyo kuna baadhi ya mambo huwa yananipita,kuna siku nimeshangaa naangalia mechi naona timu inaitwa Mbeya kwanza,na wakati huohuo Mbeya city siisikii msimu huu. Ndio hiyohiyo wamebadili jina au ni timu nyingine?
  6. GENTAMYCINE

    Tuambiane ukweli kwa Mpira mbovu uliochezwa na Simba SC Kipindi cha Pili dhidi ya Mbeya City ikicheza na Azam na Yanga itafungwa

    Kwanza nianze kwa Kupongeza Ushindi mzuri wa Goli 4 kwa 1 ambayo Simba SC imeshinda leo ( Usiku huu ) dhidi ya Mbeya City. Pia nikiri kuwa Klabu ya Simba si tu kwamba inaishia kuwa na Kikosi kizuri (Timu nzuri) ila pia ina Wachezaji wenye Vipaji Asilia Binafsi kuliko wa Timu nyinginezo nchini...
  7. Ghazwat

    Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

    Patashika ya Ligi Kuu Kuendelea kupigwa leo Juni 22 2021, ambapo Mabingwa wa Nchi wanawakabili Mbeya City Uwanja wa Benjamin Mkapa Jiji Dar es salaam. Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa...
Back
Top Bottom