The Mbu puffer, giant puffer or giant freshwater puffer (Tetraodon mbu) is a carnivorous freshwater pufferfish originating from the middle and lower sections of the Congo river in Africa, as well as the east coast of Lake Tanganyika near the Malagarasi River mouth.
The species is commonly referred to as the giant freshwater pufferfish due to its massive size, growing to a length of 67 cm (26 inches). As such, these fish are difficult to adequately house in home aquaria since they require a very large tank and appropriately scaled water filtration.
Like all of its relatives, the Mbu puffer is capable of inflating itself with water or air when stressed or otherwise frightened. It feeds on smaller fish, mollusks and crustaceans and snails. Species kept in captivity require a varied diet consisting of shelled foods to help ensure good health and to prevent tooth overgrowth.
Wataalamu kutoka Taasisi a Utafiti na Tiba (KEMRI) wamesema aina ngeni ya Mbu wa Anophelesi Stephensi kutoka Asia Kusini amebainika kuwepo kwenye makazi ya Watu katika Kaunti ya Marsabit.
Kwa mujibu wa Data za Hospitali zimeonesha ongezeko la Wagonjwa wa Malaria ingawa sio msimu wa Magonjwa...
Wanasayansi wanasema kwamba aina vamizi ya mbu anayeeneza malaria kutoka Asia imeenea hadi Afrika, ambako ni tishio hasa kwa wakazi wa mijini.
Barani Afrika, ambapo vifo vingi vya Malaria duniani hutokea, ugonjwa huu huenezwa zaidi na mbu maalumu kwa maeneo ya vijijini.
Lakini aina ya mbu wa...
Wanajukwaa kuna taarifa zinazidi kuenea kwamba hizi dawa zina sumu ya kuua. Hizo ni dawa za kuchoma kwa ajili ya kuua mbu.
Kuna clip inatembea kwenye groups za WhatsApp ikitutaka kutotumia dawa hizi.
Natoa wito kwa wizara ya afya na TBS kutoa tamko kuhusu ukweli wa dawa hizo. Ikibainika zina...
“Bustani isiyo na mbu”, ambayo ni ya kwanza mjini Chengdu ilifunguliwa. Bustani hiyo inatumia mitego ya mbu, kuanzia usimamizi wa maji na mimea, ili kuangamiza mbu kwenye nyasi na madimbwi.
1. Two Stands rail net
Hii ni net👆 nzuri sana na classic sana, Kimuonekano ni kama inavyoonekana hapo juu, Zipo katika rangi 4 (Pink, Purple, Cream & White)
2. Two stand adjustable net
Kimuonekana imefanana na ya reli lakini ni tofauti, hii vyuma vyake unafanya kuvivuta au kuvisukuma...
Kirusi kipya "West Nile" virus kimeripotiwa huko Oklahoma ambapo visa 10 vimeripotiwa CDC, hali hii imetia hofu hasa kutokana na kuongezeka kwa ama kipindi hiki cha majira ya joto
My take: Kuibuka kwa magonjwa mapya duniani kunashiria hatari zaidi
=========
US health officials brace for...
Wasalaam,
Moja kati ya changamoto ambayo imekuwa ikinisumbua sana ni changamoto ya mbu nyumbani kwangu, ingawa kwa sehemu kubwa hili ni tatizo la maeneo mengi ya hapa Dar.
Nimekuwa nikijaribu kutafiti njia mbalimbali za kuondokana na mbu lakini mpaka sasa sijapata ufumbuzi wa kudumu...
Kijana mmoja aliefahamika kwa jina la Ally Chinga mkazi wa kata ya Msinjaili manispaa ya Lindi amefungiwa ndani na kupuliziwa dawa ya Mbu baada ya kupigwa na mtu aliyemtuhumu kuiba betri ya gari leo Disemba 28, 2021.
Imeelezwa kuwa, Mtuhumiwa huyo ambaye ni kondakta, alipewa gari hiyo kwenda...
Eti wakuu, wazee wetu na nyumba zao za udongo na miti walipambana vipi na mdudu mbu? Sidhani kama walilala wakidungwa usiku kucha, lazima walikuwa na namna. Walitumia mbinu gani?
Habari zenu wadau,
Leo tupeane mbinu mbalimbali unazotumia kukabiliana na mdudu msumbufu mbu.
Wengi wetu hutumia chandarua lakini zinaleta bad looking ya chumba chako. Pia si muda wote utakua kitandani ndio ujikinge na mbu.
Ukitumia spray nayo maharufu makali, ukifunga dirisha especially hizi...
Kumezuka mjadala kuhusu mishahara ya Wabunge na Posho zake, ambapo wabunge wanalalamika kuwa wanalipwa pesa kidogo na huku wananchi wakilalamika kuwa kodi zao zinachezewa bure ili kuwalipa wabunge mishahara mikubwa na posho zisizokuwa na kichwa wala mkia.
Sasa ili kukata mzizi wa fitina, ni...
Wakazi wa Florida wameingiwa na hasira wakati wanasayansi wakijiandaa kuachia mamilioni ya mbu wa ambao wamefanyiwa marekebisho ya jini, kuanza maisha katika maeneo yao, gazeti la The Telegraph limeandika.
Jaribio l utafiti, linaloongozwa na kampuni ya Oxitec, litahusisha takriban mbu milioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.