"Mchongo".
Rushwa/Takwima/Chai/Zawadi/Asante.
Ukifika Swekeni unaambiwa kuna MCHONGO,tafuta wanaoeleweka,leta majina yao wapate mchongo.
Wanaoeleweka ni wale wanaotoa chochote kitu kwa mwenye mchongo.
Athari za MCHONGO.
Tumekuwa na watendaji wabovu,wasiojiamini,walamba viatu na wenye...