mda

The dalton or unified atomic mass unit (symbols: Da or u) is a unit of mass widely used in physics and chemistry. It is defined as 1/12 of the mass of an unbound neutral atom of carbon-12 in its nuclear and electronic ground state and at rest. The atomic mass constant, denoted mu is defined identically, giving mu = m(12C)/12 = 1 Da.This unit is commonly used in physics and chemistry to express the mass of atomic-scale objects, such as atoms, molecules, and elementary particles, both for discrete instances and multiple types of ensemble averages. For example, an atom of helium-4 has a mass of 4.0026 Da. This is an intrinsic property of the isotope and all helium-4 have the same mass. Acetylsalicylic acid (aspirin), C9H8O4, has an average mass of approximately 180.157 Da. However, there are no acetylsalicylic acid molecules with this mass. The two most common masses of individual acetylsalicylic acid molecules are 180.04228 Da and 181.04565 Da.
The molecular masses of proteins, nucleic acids, and other large polymers are often expressed with the units kilodaltons (kDa), megadaltons (MDa), etc. Titin, one of the largest known proteins, has a molecular mass of between 3 and 3.7 megadaltons. The DNA of chromosome 1 in the human genome has about 249 million base pairs, each with an average mass of about 650 Da, or 156 GDa total.The mole is a unit of amount of substance, widely used in chemistry and physics, which was originally defined so that the mass of one mole of a substance, measured in grams, would be numerically equal to the average mass of one of its constituent particles, measured in daltons. That is, the molar mass of a chemical compound was meant to be numerically equal to its average molecular mass. For example, the average mass of one molecule of water is about 18.0153 daltons, and one mole of water is about 18.0153 grams. A protein whose molecule has an average mass of 64 kDa would have a molar mass of 64 kg/mol. However, while this equality can be assumed for almost all practical purposes, it is now only approximate, because of the way mole was redefined on 20 May 2019.In general, the mass in daltons of an atom is numerically close, but not exactly equal to the number of nucleons A contained in its nucleus. It follows that the molar mass of a compound (grams per mole) is numerically close to the average number of nucleons contained in each molecule. By definition, the mass of an atom of carbon-12 is 12 daltons, which corresponds with the number of nucleons that it has (6 protons and 6 neutrons). However, the mass of an atomic-scale object is affected by the binding energy of the nucleons in its atomic nuclei, as well as the mass and binding energy of its electrons. Therefore, this equality holds only for the carbon-12 atom in the stated conditions, and will vary for other substances. For example, the mass of one unbound atom of the common hydrogen isotope (hydrogen-1, protium) is 1.007825032241(94) Da, the mass of one free neutron is 1.00866491595(49) Da, and the mass of one hydrogen-2 (deuterium) atom is 2.014101778114(122) Da. In general, the difference (mass defect) is less than 0.1%; exceptions include hydrogen-1 (about 0.8%), helium-3 (0.5%), lithium (0.25%) and beryllium (0.15%).
The unified atomic mass unit and the dalton should not be confused with the unit of mass in the atomic units systems, which is instead the electron rest mass (me).

View More On Wikipedia.org
  1. Morning Glory1

    Nahisi nina tatizo kubwa la afya ya akili linaninyemelea. Wataalamu wa mambo ya saikolojia naombeni msaada mda sio mrefu nitadata

    Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi sina njaa...uhakika wa mbunye upo yani simu moja tu naletewa mbunye mpka mlangoni kwa kifupi japo...
  2. Pdidy

    Zile pikipiki zilizopo kwenye vituo vya polisi ziwepo na ukomo wa kukaa

    Leo nilikuwa nakimbizana na wapendwa kadhaa kuwasaidia baadhi ya vituon waliivyopelekwa Ktkt pita pita Yangu nimeona vituon vimejaaza pikipik mpaka unashangaa Na zingine zinaozea vituoniiii TUNAOMBA tu kama USHAURI hixipikpik pale OFISIN hazileti picha nzuri LA kufanya muwe na mda kadhaa...
  3. Shooter Again

    Mwizi wa simu anaepigwa hapa kariakoo mda huu ni hatari sana

    Aisee jamaa anapigika hapa kariakoo mda huu ni mwizi wa simu wale ambao ukipishana nao wanasema umewakanyaga dakika 2 ukijisachi mfukoni huna kitu Leo naona kajichanya hesabu zake zimefeli jamaa wanaelekea kumchoma moto hapa aisee Hawa jamaa sijui hawakomi
  4. chizcom

    Kwenye utafutaji watu wanakuwa hawana mda na wewe ila ukifanikiwa ndio kila mtu anajua ushirki wakati hakuwepo

    Watu wengi wawe ndugu,jamaa,marafiki ,serikali,ccm mpaka wapita njia ukiwa unatafuta hakuna mwenye mda na wewe. Ila ukifanikiwa unaweza kusikia yule kazi wa maimum hata kama we ni mtoto haramu kama dini zetu zilivyo kwa ajili ya maskini ukapata haki. Mafanikio ya mtu kwenye utafutaji yana...
  5. E

    MDA & LGA's

    Wakuu samahani naomba kujuzwa kuhusu ajira zinazotangazwa na MDA & LGAs. Hapa kwenye 'MDA' mara nyingi naona hizi taasisi zinazojitegemea zinatangaza nafasi za kazi zenyewe mfano TRA, TANAPA, TAKUKURU nk, sasa je hizi zinazotangazwa kupitia MDA & LGAs waajiriwa wake hupelekwa katika taasisi gani...
  6. T

    Wahitimu msing'ang'anie kuomba kazi bongo pekee hata kama uridhiki na ajira uliyonayo muda haurudi nyuma fursa popote

    Hawa vijana wa singeli uenda bongo ndio tuna vijana wa hovyo kutwa kutumia bando kuangalia ujinga mda hauendi mtu analia connection connection connection haikufuati umelala kitandani ukiwa unapambana bongo usiache na kupambana nje pia nje hapa hitaji connection ili kupata kazi kule ni cv na...
  7. bongo-live

    Ushauri jamani: Nanyanyasika ukweni, eti nimemchezea muda mrefu

    mimi ni mbabaz wa miaka 39, sijaoa lakini naishi na mwanamke ambaye naweza kusema kuwa ni kama mke wangu kwani nilishamtolea mahari, tumeishi pamoja kwa miaka kumi bila ndoa, sikuona umuhimu wa kufunga naye ndoa kwani yeye ni mama wa nyumbani, nilijua kama nikifunga naye ndoa ikatokea...
  8. N

    Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

    Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani, Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu...
  9. incredible terminator

    Nimetoka kumzika mshauri wangu wa afya alieniambia nitakufa muda mfupi kwa kumix energy drink na K Vant

    Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda. Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya...
  10. Mende mdudu

    Congo: Wanadiplomasia wameondolewa Bukavu wamepekwa Rwanda. Nadhani Bukavu kutawaka moto mda siyo mrefu

    Waasi wa M23 wameingia Kavumu ni km 25 toka Bukavu airport hatua hiyo imepeleka wanadiplomasia kuondelea Bukavu kwenda Rwanda, tutegemee kuona mapigano ktk jiji la Bukavu siku siyo nyingi.
  11. Minjingu Jingu

    Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri. Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu...
  12. N

    Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

    Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
  13. 4

    Pre GE2025 CHAUMMA kinaweza kwenda kuwa chama cha upinzani kikuu Tanzania muda wowote

    Andiko langu litakua fupi sana, ni imani yangu hamjambo wana JF. Husika na somo tajwa hapo juu chama cha Chauma ndani ya siku chache kinaweza kwenda kuwa chama kikuu cha upinzani . Hii itaenda kuwa kama ACT ilivyokuzwa na CUF . Nahisi ujinga unaofanywa na kundi ALFA NA OMEGA ukiongozwa na...
  14. Z

    Lissu anaongoza kikao muda huu, Mbowe is real democratic!

    Mbowe akiwa Clouds fm leo amesema kuna kikao cha kamati kuu CDM kinachoongozwa na makamu m/kiti Tundu Lissu muda huu pale makao makuu CDM, Mbowe ni mwanademokrasia sana sana, anaheshimu katiba ya chama na mamlaka ya viongozi wenzake, hata kama Lissu anamsema hovyo, lakini Mbowe anaonyesha...
  15. H

    Tatizo la mafua ya muda mrefu

    Wakuu poleni nyote na majukumu ya leo, msaada naombeni Kuna ndugu yangu anamafua ya muda mrefu yapata Kama mwaka, alienda hospital akapatiwa dawa za allergy au mzio lakini Bado ,yani pua zinamziba sometimes anashindwa hata kuhema vizuri msaada wakuu nafanyaje hapa Sasa .
  16. comrade_kipepe

    Niko nasikiliza TBC Taifa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali: Majibu ya moja ya swali ni hili

    Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :- Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani? Sheikh kamjibu:- Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na...
  17. Paul dybala

    'Aslay mihogo' inawaka moto muda huu

    Moto ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana umezuka na kuteketeza Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu katika fukwe za Coco Jijini Dar es Salaaam aitwaye Asley Mihogo.a Jeshi la zimamoto na ukoaji limefanya juhudi za kuuzima moto lakini mabanda yameisha Moto ambao mpaka sasa chanzo chake...
  18. FK21

    Nimeota mganga ananiambia sina muda mrefu nitafakufa. Nini maana ya ndoto hii?

    Leo usiku wa saa 8 NIMEOTA NDOTO mtu ambae ni mganga akiniambia kuwa soon nitafariki Sababu ni kuwa watu wanaoniroga wamejua kuwa najua kuwa wanaoniroga so wanafanya juu chini wanizime mapema
  19. Dabil

    Mbinu ipi inafaa kuwafunga vilabu vya kiarabu vinavyopoteza mda?

    Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama...
  20. G

    Walimu muda wowete kuitwa kazi

    Walimu Foeni mabegi yenu kwani Mda wowote mtaitwa (ku) zini. 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Back
Top Bottom