Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...
Nadhani sijaeleweka!! ila ukimtoa kanumba (ME),gabo(ME),monalisa(KE) na riyama(KE) huyu ndio actor wangu wa bongo movie kwa sasa mpaka 2030....."DUNIA Anaitwa hellena aka cindy kakolanya(ke)
Wadada wengine aibu hawana. Umemuacha mwanaume wakati amepoteza kipato na haitoshi ukamsaliti tena wazi wazi kila mtu anaona!
Kaka wa watu amejipiga ameinuka tena, unarudi na blah blah eti nakupenda sijawahi kukutana na mtu mwenye mapenzi ya kweli mvumilivu mpole kama wewe. Wakati unamsaliti...
Habarini,
Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada...
Habarini,
Kuna social construct nimeiona kwenye jamii
Mimi binafsi na great thinkers wengine tunaamini kuwa hamna tofauti kati ya golddigger (mdada anaekupendea hela) na mdada anaejiuza barabarani, sababu wote wawili wana-sex na wewe sababu unawapa hela, usingekua na hela wasingekupa...
Mdada umekuwa na rangi tatu😀, macho brown yameungua kream, una mabaka ya kream mpaka unamfanya mwanaume ahisi afya yako si salama. Mishipa ya damu inaonekana
Nashangaa naona ni siku Moja tu imepita tangu movie itoke lakini naona kimya kabisaaaa. Hata wale haters wa Mama yetu ambao mara tu baada ya bi mdada kutangaza kutoka kwa movie yake walikimbilia mitandaoni fasta ambako walianza kushusha mamia ya viapo kwamba movie ni true kabisa. Aidha, haters...
Hii imenitokea mara kadhaa.
Inakatisha sana tamaa, unakuta mdada mrembo tu mwanzo ulikuwa humjali sana.
Mara anaanza mazoea , ukimpa tu attention anaondoka inakuwa kama zamani tena.
Unaweza dhani labda umeokota dodo, unasema ngoja uifanyie kazi hii green light mara inakuwa ngumu kuliko...
Au ni sababu ya ujuaji wake harafu kaja kufa Nyumbani kwa Mweshimiwa kizembe vile au season 2 anaweza kurudi waseme hakufa,
Wadau wa series jina na cover ni hilo hapo 👇 series nzuri sana
Iko hivi huyu ni binti miaka 23, anajikuta kwenye dimbwi la mawazo katika kufanya maamuzi
Amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mbaba(40 yrs) yaani mume wa mtu kwa zaidi ya miaka miwili na amemuahidi kumuoa na amejitambulisha mpaka kwa Wazazi wake hata alipokuwa chuo cha maendeleo huyo mbaba...
Mwanaume anacheat kwa sababu ana uwezo wa kucheat.
Sio kwa sababu eti mfuska , hapana, hata wale normal familiy loving men wana cheat.
Mwanaume ana cheat sio kwa sababu ya mke wake amridhishi au labda mke wake ni pasua kichwa, ila anacheat kwa sababu technically mwanaume ni sex machine...
Video ya Hayati Anwar Sadat anasema Siwezi kamwe kuhatarisha hatima ya Egypt kwa sababu ya tabia yao ya kitoto. Anawalaumu viongozi wa Palestina kwa kukutaaa makubaliano ya Camp David. Anasema makubaliano hayo yalilenga Wapalestina wawe na Serikali yao baada ya Miaka 5 ya utekelezaji wake...
Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi.
Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe. Maisha yake mpaka anafikia miaka 16 yalikuwa nchini Nigeria. na baada ya miaka 16 Kemi alirudi...
chama
chama cha upinzani
chama kikuu cha upinzani
conservative party
historia
kemi badonech
kiingereza
kiongozi
kuongoza
kwanza
mdada
mpya
mwafrika
nigeria
party
wake
wazazi
Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi. Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe. Maisha yake mpaka anafikia miaka 16 yalikuwa nchini Nigeria. na baada ya miaka 16 Kemi alirudi...
Habari wadau!
Naenda kwenye hoja moja kwa moja.
Kama mnavyojua maisha yanaenda kasi sana. Utandawaz naweza sema umeenea kila pande ya Dunia na hamna binadamu ambaye anakubali kuwa nyuma au jamii flani inakubali kuwa nyuma.
Maisha kabla ya mitandao namaanisha kabla ya mobile phone kuanza miaka...
Simjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?
Habari Wana jukwaa.
Mdada wa kazi anahitajika mshaara 50000 kwa mwezi
Majukumu
1 kukaa na mtoto , kumuhudumia , kimpa chakula nb mtoto ana mwaka na miez 2 Sasa
2. Kupika
3. Kufanya usafi ndani na nje ya nyumba nuyumb ni chumba sebure na choo ndani
Mahali ni dsm temeke
SIFA ZA MWOMBAJI
umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.