mdude

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri; Hatimaye Mdude Nyagali atimiza Mwaka mmoja gerezani

    Huyu Kijana wa kutokea Mlowo Mbozi, Mkulima duni wa jembe la mkono ambaye kwa maelezo yake mwenyewe bajeti yake kwa mwezi haizidi shilingi Laki 1 za Kitanzania, na ambaye hajawahi kumiliki hati yoyote ya kusafiria. Leo hii anatimiza mwaka mmoja Gerezani kwa Tuhuma za uongo za kuuza madawa ya...
  2. CHADEMA

    John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

    Mbunge wa Kibamba kupitia CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter amesema kuwa Chadema Mdude amechukuliwa na Watu wenye silaha Aidha, yeye mwenyewe amesema CHADEMA inafuatiloa suala hilo na taarifa zaidi itatolewa muda si mrefu ====== CHAMA CHA DEMOKRASIA NA...
  3. BAVICHA Taifa

    Mateso ya Mdude Nyagali ndani ya kuta za Gereza la Ruanda

    Na John Pambalu Mara milango ya gereza ikafunguliwa. Askari akasisitiza acheni simu zenu na Muingie watu 4 tu. Tukaambatana na viongozi wawili wa chama wilaya ya Mbeya mjini, mimi pamoja na Kamanda Mwaipaya tukaingia ndani ya lango la Gereza. Mwenyekiti umekuja?. Ilikuwa sauti ya Mdude...
Back
Top Bottom