Dark Earth Carbon on behalf of Masika Venture, is seeking a Graphic Designer & Social Media Marketer
Job Location: Dar es Salaaam
Short Brief of the Company:
Masika Ventures is an umbrella organization that encompasses the business services functions of our companies including Upendo Honey...
Mchambuzi mahiri Hans Rafael ameomba kuvunja mkataba wake na Crown FM 👑, hatua inayozua maswali kwa mashabiki wa uchambuzi wa michezo.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa chanzo changu cha uhakika zinaeleza kuwa Hans amepewa ofa nono na Azam Media, jambo lililomsukuma kuomba kuondoka Crown FM...
Background
The Media Council of Tanzania (MCT) is an independent, voluntary and self-regulatory body with the objective of promoting freedom of the media and ensuring the highest professional standards and media accountability in the
United Republic of Tanzania.
MCT implements its four-year...
Kwanza niwape pole Watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi.
Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania wote.
Watu walisafiri, watu walilipia vingamuzi. Azam tv waliitangaza sana mechi hiyo kwenye radio...
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko.
Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya ITV napo sikia mkoa fulani kuna manguri ambao nahisi habari zimekamilika.
Upande wa redio one nako...
Kampuni ya azam media natambua mchango wenu katika michezo, ila kuna watu wachache wana wahujumu ili kuwarudisha nyuma, kama ilivo tokea kwenye ngumi adi mkaa amua kujiondoa.
Basi ushauri wangu kwenu bora mjiondoe pia kwenye mpila mechi kama izi ndo mlitakiwa mpate views wengi ila kuna watu kwa...
Yaani ukisikiza maswali yao ni ya kishabiki na utoto mwingi wakati viongozi wa Chadema kila hoja walikuwa na data za kuonyesha. Hata maswali ya kisheria watu wa Media wamekuja na vijimameno ya vijiweni hawazielewi. Uchawa umegoma kwa kuzidiwa hoja. Badala ya kujali taifa ni uzushi na ujinga...
Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
Mtanzania ateuliwa kuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la FBI nchini Marekani. Hii ni hatua ya uundaji wa serikali wa utawala mpya wa Rais Trump.
Kash Patel amezaliwa Marekani lakini Baba yake ni Mganda na Mama yake ni Mtanzania walioamua kuhamia Marekani ambako huko ndiko Kash Patel alikozaliwa...
Habari wakuu,
Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje!
Unasubiri replay, napo unaona video nzuri lakini wachezaji wanaonekana kama sisimizi huwatambui vizuri licha ya kuwa...
WE ARE HIRING!
Position: Business Performance and Analytics Manager
Education: BSc in Actuarial Sciences, BSc in Mathematics, or a related field.
Key Areas:
Design Customer Value Management (CVM) and Customer Experience strategies.
Increase revenue and customer satisfaction.
Develop...
Wakuu Habarini...
Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali.
Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri...
Toka Jana Mwenyekiti yuko kwenye Harakati zake za kichama.
Online TVs zimepigwa Pini, hiii CHADEMA MEDIA mbona Iko nyuma sana ?.
Tundu LISSU Kwa Sasa anahitaji kutazamwa LIVE Masaa yote.
LISSU TIMUA HAO JAMAA WA CHADEMA MEDIA ,SAJILI VIJANA WAPYA.
Mambo vp wadau
Leo nmekuja km digital market.
Ni sekta muhimu sana wa wafanya biashara na watoa huduma.
Km unakampuni au biashara yoyote ile lazma utahitaji kuwafikia wateja wengi. Na njia rahisi ya kufikia watu ni kwa njia ya mtandao( website au social media)
Basi ukisha hitaji soko la...
Summary:
Crown Media is a leading media company committed to delivering high-quality content and innovative solutions to its audience. As a growing organization, we strive to create an environment that fosters creativity, teamwork, and professional growth. We are excited to announce an...
Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa maudhui kutoka media mbalimbali utakubaliana nami kuwa media nyingi za Tanzania zimekuwa za kikasuku na burudani kuliko kazi nyingine za media nawashauri medias, wadau wa media na watangazaji kujifunza kutoka kwa ndugu zetu kenya, kuazia mpangilio wa vipindi...
Kimekuwa na media nyingi zinazowasema vibaya M23 huko congo ila kwa background hali ni tofauti, raia wa Goma na wengine wanafurahia mapinduzi ya M23.
Hapa ndio naanza kuelewa kuwa haya mapigano yanafadhiriwa pakubwa na nchi za Ulaya na kupotosha kuwa hao jamaa ni waasi ikiwa serikali kuu ndio...
Habari ndio hiyo. Mjumbe hauwawi azam Media. Kuna malalamiko watu wanasajili azam max kupitia namba za visimbuzi ambavyo si vya kwao. Je taarifa hizi wanazipata wapi kama si kwa Wafanyakazi wenu? Naomba hili suala lichukuliwe siriazi huu ni wizi kama wizi mwingine wa kimtandao. Serikali naomba...
=========UPDATE========
NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE.
================
Hello bosses and roses...
Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.