media

  1. Sky Eclat

    Huku kwenye social media kuna mambo huku

    Kwa sisi tunaotumia majina yetu na CV zetu halisi tumeweka wazi, humu ndiyo connections zinapoanzia unakuta linked link, kuna anaekuhitaji akiona CV anakuunganisha mara umepata mchongo. sasa kuna wale anakuona jina lako anakumbuka mlisoma wote Wailes, ana request friendship, unamuona ni Queen...
  2. Bubu Msemaovyo

    JamiiForums is the best social media in Tanzania

    Wana JF, Hadi kufikia leo hii mimi binafsi nimeelimika sana tangu nilipojiunga na JamiiForums miaka kadhaa iliyopita. Ni jukwaa ambalo wanachama wake ni kutoka kila fani nchini Tanzania. Kwa masuala yoyote ya Siasa, Jamii, Uchumi na Michezo; vyote vipo JF. Ni media ambayo hufichua maovu...
  3. Mekatilili

    Half of Tanzanians living in ‘multidimensional poverty’

    Kenya has seen marked improvement in this 2019 ranking. In spite of the spate of natural disasters brought about by climate change. ==== An estimated 55.4 percent of Tanzanian population or around 31,778,000 people are in multidimensional poverty while an additional 24.2 percent or 13,872,000...
  4. H

    Kusaga: Sina hisa zozote ndani ya Wasafi Media

    Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa zozote ndani ya wasafi na Wala sijawahi kumchangia chochote diamond zaidi ya kumpa ushauri kuhusu...
  5. H

    WASAFI MEDIA wafikisha mil 1 subscribers

    Wasafi media imefikisha mil 1 subscribers ya watazamaji YouTube na kuwa ni media pekee ya tz yenye subcriber wengi kuliko media yoyote ikiwa imeanzishwa muda si mrefu.
  6. GENTAMYCINE

    Japo ' Wanachukiwa ' na wengi ila hadi hivi leo bado sijaona Baba wa ' Promo ' Tanzania nzima kama Clouds Media Group

    Hawa Jamaa kila ' Promo ' yako lazima itakuwa na Kishindo Kikubwa. Hongera sana Kwao Clouds Media Group kwani inaonyesha kuwa wana Vichwa hatari katika Masuala mazima ya ' Promo ' na sishangai Kuona kila Tamasha ambalo huwa wanaliandaa Wao basi ni lazima tu ' Nyomi ' lake litakuwa Kubwa na...
  7. Jamii Opportunities

    Country Representative at Media partnership for amplifying youth and women’s voices

    Project: Sauti Mpya. CSOs-media partnership for amplifying youth and women’s voices (EU co-funded project – CSOs / Human Rights) Department/Area: Cooperation Relate to: Country Representative Contract type: 12 months renewable (including 3 months as probation period) Starting Date...
  8. H

    Mwigizaji maarufu Goo Hara wa Korea Kusini, Kajiua kwa kusemwa sana na vyombo vya habari

    Mwigizaji maarufu Goo Hara ambaye amezaliwa kwenye mji wa Seoul nchini South Korea ameigiza korean drama Kama City hunter, secret love na nyingine nyingi Leo amefariki akiwa na miaka 28. Mwadada huyu amekuwa akiandamwa na skendo na media nyingi za Korea kitu kilichosababisha apate frustration...
  9. Victor Mlaki

    Natamani siku moja nione JamiiForums kama social media platform inayomuingizia pesa kila mwanachama

    Nina imani kubwa sana na uongozi wa Jamii forum na ninadhani imani yangu inaweza ikawa kubwa kuliko ilivyo sasa. Sijawahi kujuta kuwa mwanachama wa jamii hii pana yenye muono wa aina yake katika kuibua mwamko kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kijamii na kisiasa. Nimejifunza mengi...
  10. CHEF

    Sera za kibiashara za DStv na media zingine zinakera

    Kwa ukweli kuna sera zingine za kibiashara zinakera sana, mfano DStv unakuta wanataka malipo ya kifurushi cha mwezi wakati unakuta kwa mwezi mtu anapata muda wa kuangalia TV mara mbili au tatu. Sasa kwanini kusiwe na kifurushi cha siku, wiki na mwezi kulingana na mtumiaji atahitaji kifurushi...
  11. Pascal Mayalla

    Tanzania tuna uhuru wa habari, ila media oga! Tungekuwa mbali sana kimaendeleo, rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu vingeibuliwa kabla

    Wanabodi, wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu...
  12. B

    Je, ni kweli Wasafi Media washakubali kuwa kivuli cha EFM?

    Ulimwengu wa entertainment (burudani) unaenda kasi sana, vitu vinabadilika kila leo, level ya ushindani imekuwa kubwa pia, mbali na kushuhudia hamahama ya watangazaji kutoka Media House Moja kwenda Nyingine, na tulipofikia ilishakuwa jambo la kawaida sana. Kwa wiki sasa nimekuwa nikifatilia...
  13. idawa

    Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

    Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi. Amesema kampuni ya Wasafi walimzuia kutumia chochote kilichotokana na Wasafi ikiwemo jina la Harmonize, nyimbo zake, akaunti za mitandao ya kijamii na mengineyo. Ili kuendelea...
  14. mayowela

    Wasafi Media na anguko la East Africa Radio

    Hii wiki imeanza kwa kishindo upande wa Kiwanda cha media baada ya Wasafi Fm kufanya utambulisho wa watangazaji wa kipindi cha michezo cha Sport Arena, utambulisho uliojaa manjonjo na mbwe huku wakiwa wameacha vilio na mapengo kwenye baadhi ya vyombo vya habari, Biashara ni Ushindani, eeeh ndio...
  15. Mukulu wa Bakulu

    Tanzania supports China on Hong Kong crisis, blames Western media

    Dar es Salaam. The Tanzanian government said on Wednesday October 23 that it supports China’s position in the Asian country’s ongoing dispute with Hong Kong. Justice and Constitutional Affairs minister Augustine Mahiga said this during a dinner hosted by the Chinese embassy to commemorate five...
  16. H

    Kesho ndio uzinduzi wa kipindi Cha michezo wasafi media

    Kesho kuanzia saa 12 asubuhi wasafi media chini ya CEO wao diamond platnumz wanatarajiwa kufanya tukio kubwa la kulouch kipindi kipya Cha michezo pamoja na mambo mengine Kama suprise kwa mashabiki wao na mgeni rasmi atakuwa waziri wa sanaa na michezo Harrison mwakiembe.ukiachana kuuzulia kwa...
Back
Top Bottom