Habari wana JF, natumai muwazima.
Nina jambo limenitatiza naomba ufafanuzi.
Swali ni kuwa, kwa mtu ambae A level alisomaga PCM na akafaulu vizuri,je inawezekana kama akihitaji kusomea medicine akafanya mtihani wa Biology A level ili kupata credit (kwa kuzingatia anahitaji mchepuo wa PCB kwa...
Kwema wakuu.
Ebana ndugu yangu amechaguliwa kozi tajwa hapo juu chuo cha sokoine pale Morogoro, naona Kama hajaridhishwa hivi na hii kozi, lengo lake lilikua asome MD ila vyuo vyote vya medicine alivyoomba hawajamchagua sababu ya ushindani kuwa mkubwa sana mwaka huu. Matokeo yake ya kidato cha...
Hiki chuo cha excellent kwanza hata usipo-apply unashangaa umetumiwa meseji kwamba umechaguliwa hapo wakati hata ku-apply huku apply.
Hiki chuo ukiingia kusoma hakuna kuhama ukiomba uhamisho kwanza wanakukatalia kisha wanakufutia usajili kwamba hawakutambui hivyo unaanza upya kabisa...
Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021...
A Kenyan scientist living in the United States has presented the world's first once-a-year antiretroviral (ARV) medicine.
Prof. Benson Edagwa and his colleagues at the University of Nebraska Medical Center changed the ARV medicine cabotegravir such that it may be absorbed and released slowly...
The book of Isaiah in the Old Testament portion of the Bible is one of the most incredible books of prophecy ever written. Isaiah was a prophet during the time the northern kingdom of Israel was deported to Assyria in 722 B.C.
But not only did Isaiah write about events that were happening...
Sifa na Utukufu ni Mali ya Mungu wetu, Naliinua na kulitukuza Jina lako sasa na hata milele.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini hatima ya vijana wa Utabibu mwaka wa pili (Nta level 5) kwa mwaka 2021? Maana Nta 4 na 6 wote...
Habar zenu wapendwa,
Kulingana na title hapo juu inavyojieleza ni kwamba kwa yoyote anayejua upatikanaj wa notes za Ordinary Diploma in Clinical Medicine either iwe n kwa njia ya magroups au online research.
Naombeni msaada kwa ambao wameshapita hii stage na kwa ambao wapo kwenye hii stage.
I always get excited whenever I am on duty to perform pharmacy practice in any dispensing outlet. And today was not different from any other day.
“Ms. Eli-Ukende, you are here so early today” Sister Amelia’s voice as I turned to open the gate in the Out-Patient Department. She has been...
Assalamualaikum.
Natumaini wote ni wazima wa afya.
Leo napenda niongelee swala moja linalo litikisa dunia na ulimwengu kiujumla katika pitapita zangu za kuongeza maarifa nikavutiwa na hii mada.
Bila kupoteza muda twende moja kwa moja katika dhima yetu.
Nanotechnology hi ni technolojia ngeni...
Natanguliza salaam,
Is there anybody who can recommend medicine/herbs etc. That can help to regulate hormones of a woman undergoing menopause.
Many thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.