mehran karimi nasseri

  1. mcshonde

    Mehran Karimi Nasseri: Mwanaume aliyeishi Uwanja wa Ndege kwa miaka 18

    Mehran Karimi Nasseri ni mwanaume ambaye ameishi ndani ya uwanja wa ndege kama nyumbani kwake kwa zaidi ya miaka 18. Serikali ya Iran ilimfukuza nchini bwana Nasseri bila kumpa pasi ya kusafiria (passport) wala viza kwa sababu alitoa kauli za kumpinga kiongozi mkuu wa nchi. Alipotoka Iran...
Back
Top Bottom