Méma is a region in Mali, Africa. A plain of alluvial deposits, it is situated north of Massina; west of Lake Debo and the Inner Niger Delta; and southwest of the Lakes Region. The now-senescent basin may have been the first settlement area for communities who migrated from distressed homelands of the Sahara during the last two millennia BC. Historically, Mema was one of the smaller Soninke states; it was also at one time a province of Ghana Empire.Toladié, which dates between at least 430 CE and 670 CE, is the largest occupation site (76 hectares) in Mema. As a primary center in the region, Toladié utilized smelted iron tools produced by the communities of Akumbu, Boubou, Boundou, Boulel, Kobadie, Kolima, and Nampala for purposes of tribute and trade with the Ghana Empire.At the Akumbu mound complex, in Mema, its findings date between 400 CE and 1400 CE; at the cultural deposit of AK3, which contained three human remains, the dates range between 400 CE and 600 CE. While two out of three human remains were in a fully decomposed state, one of the human remains were able to be determined to be a young adult (17-25 years old) female, who was buried with two copper bracelets - one on each wrist, 13 cowrie shells, 11 stone beads, and a fully intact pot.
Badala ya kuotesha majani halafu tuzuie mbuzi wasile ni bora tusioteshe majani ili hao mbuzi wasipate pakula
Badala ya kuweka mianya ya rushwa kupitia katiba halafu tuzuie viongozi wasile rushwa ni bora tukaziba mianya ili hao viongozi wasipate pakulia hiyo rushwa
Badala ya kuingiza mitumba...
Mwanaume alikuwa na kawaida ya kumpa ombaomba mmoja Shilingi milion moja kila mwezi.
Mtu huyo aliendelea kufanya hivyo kwa muda Sana.. Sasa Siku moja, akampa ombaomba shilingi laki saba na nusu pekee. Ombaomba yule alishangazwa na hilo, lakini akajisemea, 750,000 ni bora kuliko kukosa...
Kabla ya Wakoloni hawajaanza kutawala Africa baada ya mkutano wa Berlin wa 1884/1885 Africa ilikuwa haijawahi kuwa na hospital, shule, reli, barabara, mfumo wa sheria, mahakama na umeme. Hivi vitu vilianza kuwepo Africa baada ya Wakoloni kuja.
Hata hivyo historia ya ukoloni inayozungumzwa...
Wema hauozi ,matendo mema ni akiba yako mbinguni na duniani.
Uzuri wa mtu upo katika matendo yake mema.
Mikono inayosaidia watu ni bora kuliko midomo inayosali bila matendo.
Imani bila ya kuwa na matendo mema imekufa.
Ni heri kutoa kuliko kupokea..
Mikono inayotoa kusaidia wahitaji...
Jamii Imetakiwa Kuwa na Mashirikiano Katika Kulea Watoto Ili Kuwakuza Katika Maadili Mema.
Ushauri huo umetolewa na katibu wa kamati za maadili kutoka Jumuiya ya Maimamu Zanzibar JUMAZA Abdallah Mnubi Abass wakati akizungumza na wanawake wa kiislamu huko tomondo mshelishelini Wilaya ya magharibi...
MAOMBI YA WAZAZI WAKO HAYANA MCHANGO WOWOTE KATIKA MAFANIKIO YAKO. MATENDO YAO MEMA NDIO SADAKA KWA MAFANIKIO YAKO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hata waombe na kubinuka. Hata wafunge 40 kama Yesu. Hata wafunge Ramadhan na Shaban.
Hata wagaregare na Kuvaa magunia. Ni Kazi bure tuu.
Maombi...
Kaka pamoja na kwamba umeamriwa kupenda ila hakikisha unayempenda naye anakuelewa kuna utii, baraka na matendo mema utayapata
Mwanamke akupenda kuna upendo utaupata, atakusaidia na atasimama na wewe kwenye changamoto zako. Mwanamke akikupenda hata kama atakuwa na mzuri wa muonekano au atakuwa...
Mambo vipi wadau!
Nataka nitumie jukwaa hili kuwakumbusha vijana wenzangu kwamba ni dhahiri kila mmoja wetu anatanani kuwa mtu mwema
Hakuna mlevi anaependa kulala mitaroni kwa ulevi au kujidhalilisha
Hakuna mtu anaependa kuwa na hasira kali zinazo haribu hatma ya maisha yake na wengine...
WAKATI mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akitangaza uwepo wa Maandamano ya Chama hicho Siku ya jumatatu September 23 ,Jeshi la Polisi Nchini limeweka mkazo wake kuwa piga marufuku maandamano hayo .
Kuwa maandamano hayo yana viashiria vyote vya uvunjifu wa...
chadema
dar
dar es salaam
jeshi
jeshi la polisi
jumanne
kesho
kuandamana
kubwa
maandamano
maandamano chadema
mema
shaka
siasa za chadema
waandamanaji
wote
Acha kujifanya mtenda mwema katika maisha ya watu hao wanaokuzunguka hakuna anayekuwazia mema huu ni ukweli japo ni mchungu......
Maisha tuliofikia hivi sasa watu wanaotuzunguka maeneo ya makazini, mtaani,majumbani ambao tunawaona kama ndugu,jamaa,mashemeji au marafiki hakuna anayekuwazia mema...
Nimefanya utafiti wa kutosha. Hivyo nina 100% na kile ninachokizungumza
(a) Fundi Simu
(b) Chipser (Mkaanga Chips)
(c) Bodaboda (Afisa Usafirishaji)
(d) Wasusi wa kiume na wapaka rangi kucha
(e) ?
Wakubwa habari zenu mimi ni kijana wa 30+ na hivi karibuni natarajia kupata mtoto wa pili, majaliwa ya mwenyezi mungu.
Haya tujikite kwenye mada hapo juu, kwa jamii ninayo ishi nimeshuhudia vitendo viovu na maadili mabaya hasa kwa wadogo zetu, wengine watoto ambao unao uwezo wa kumzaa...
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.
Wazazi wamekua wema...
Kuna ofisi moja nilipita, ya serikali, ndugu wapokezi (receptionists) jueni kuwa Mungu amewaweka hapo ili mhudumie wananchi, acheni kiburi, fanyeni kama mnafanya huduma kwa wanadamu mliyotumwa na Mungu kwasababu kwanz amnapokea mshahara kutokana na kodi za wananchi hawahawa! acheni dharau...
Ndugu zangu DUNIA ni kweli ni TAMU ila ni FUPI sana., jitahidi sana kufanya yaliyo MEMA.
Katika mema yako usisahau na muumba wako, pia usisahau na WAZAZI wako. Kwani wao ndio wamefanya uone mwanga wa jua wa DUNIA.
Pia jitahidi sana kuishi vizuri na wanao kuzunguka pia.
Kwani...
Rais wa Nigeria Bola Tinubu kupitia Waziri wake wa Maendeleo na Madini ameamuru kuanzia Jana tarehe 20 Desemba, 2023 hadi tarehe 4 January, 2024 Treni zote za nchini Nigeria kubeba bure Wananchi wanaoenda Kutembelea Ndugu zao Kipindi hiki cha Sikukuu za mwisho wa mwaka ( Christmas na Mwaka Mpya...
Kidogo tumeanza kubadilika
Majuzi nilisafiri na basi moja to Arusha
Wakataka details zangu hamad nikaweka alarm, yaani sijaamka
Nasikia simu habari naviga toka kampuni fulani safari yako ni saa tukukute kituo fulani muda wa kuamka sasa
Nilipenda sana nikatamani na ndege mtuamshe hivi maana...
Mpendwa,
Mary Christmas 🎄 and Happy New Year in advance.
Tunapoelekea sikukuu muhimu za Christmas na Mwaka mpya 2024, nachukua fursa hii kukuombea Baraka na Neeema za Mwenyezi Mungu ziambatane nawe katika kila unachokifanya kujiandaa na sherehe hizi pendwa na muhimu, mathalani unajipanga...
Mkulima wa Tanzania sasa hivi ana kituo cha kisasa cha huduma kwa mtej (,Customer care).
Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee:
Mengine tutaendelea kuwaletea.
Hongera Bashe, Hongera Rais Samia.
===
Waziri Hussein...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.