Méma is a region in Mali, Africa. A plain of alluvial deposits, it is situated north of Massina; west of Lake Debo and the Inner Niger Delta; and southwest of the Lakes Region. The now-senescent basin may have been the first settlement area for communities who migrated from distressed homelands of the Sahara during the last two millennia BC. Historically, Mema was one of the smaller Soninke states; it was also at one time a province of Ghana Empire.Toladié, which dates between at least 430 CE and 670 CE, is the largest occupation site (76 hectares) in Mema. As a primary center in the region, Toladié utilized smelted iron tools produced by the communities of Akumbu, Boubou, Boundou, Boulel, Kobadie, Kolima, and Nampala for purposes of tribute and trade with the Ghana Empire.At the Akumbu mound complex, in Mema, its findings date between 400 CE and 1400 CE; at the cultural deposit of AK3, which contained three human remains, the dates range between 400 CE and 600 CE. While two out of three human remains were in a fully decomposed state, one of the human remains were able to be determined to be a young adult (17-25 years old) female, who was buried with two copper bracelets - one on each wrist, 13 cowrie shells, 11 stone beads, and a fully intact pot.
Kwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
Hakuna asiyejua, miaka mitano yote, wananchi mjini na vijijini, waliunganishiwa umeme kwa bei hiyo ambayo leo inasemwa, hapo katikati tulidanganywa na haiwezekani! Na wakati huohuo, hata anayesema hivyo, huko nyuma alipita kila mahali kutangazia wananchi bei ya 27000 tu
Kumebadirika nini leo...
Nataka kuweka mambo sawa hapa au kusawazisha mapema ili baadae kila mtu aweze kujua mapema.
Kuna kuwa na thread nyingi sana hapa JF na hata katika blogs na posts mbalimbali juu ya Simba Sc inapo litendea haki ligi letu na ukanda huu wa A. Mashariki.
Kasumba hii ya miaka yote ya kutothamini...
=AZUUWd1OU7Rl6vvdDQtiwHMSxmWBB8ij45C04oMwTuY3Udqu5PlqIE0kP2mmadVRrgnAYhcXxUHlxET6Hh9KgDEXWLPj4mHzw-2HDXNV4KApOz4YZCdwpuxXNul2E7DX6Xa6OeOddumzlq5XMxB-Jun9&tn=*NK-R']#NUKUU YA WIKI: Kutoka kwa Ndg. Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.
"Kazi ya siasa sio uongo, majungu, fitina...
Huu mkanganyiko wa kauli za hawa viongozi waandamizi wa chama na serikali kuhusu bandari ya Bagamoyo inaonyesha kuna madudu sana ndani ya terms of contract,na hii inatokana na baadhi ya viongozi wachache waliolenga kujinufaisha na mradi huo .
Rejea jinsi dharura iliyotumika kupitisha miswaada...
Kuna masuala kadha wa kadha ambayo yameibuka na kukatisha tamaa wananchi wa kawaida. Tozo ambazo kiuhalisia ni makandamizo kwa wananchi wa kawaida.
Wamachinga kuondolewa kimabavu kwenye miji mikubwa na mafisadi kuavhiwa huru kana kwamba hawakuliibia taifa. Haya ni baadhi ya mambo ambayo...
Assalamualaikum.
Katika maisha kuwa katika mahusiano ya kimapenzi, ni Jambo la kawaida kwa kila kijana, ni muda wa kumtafuta yule wa ndoto yako wa kujenga nae maisha ikiwezekana mfunge ndoa.
Katika harakati za kimahusiano vijana wengi ujikuta wakianguka katika seheme siziso sahihi na kujikuta...
Wameendelea kutovaa barakoa.
Ni CHADEMA hawahawa walioishinikiza serikali ya awamu ya 5 itoe takwimu za kila siku za wagonjwa wa UVIKO-19.
Ni CHADEMA hawahawa walioupinga msimamo wa jemedari Hayati Dkt. Magufuli juu ya kutowekwa lockdown nchi nzima/maeneo yenye msongamano.
Kipi kilitarajiwa...
Binadamu tumeumbiwa mapungufu na kila mmoja ana yake.
Ila tumezidiana kwa kiwango fulani..
Kuna mwingine anapenda kula chakula kingi...ila hapendi kuona mtu kavimbiwa.
Kuna mwingine anapenda muziki mzuri ila hawapendi wanamuziki.
Kuna mwingne anapenda dini sana lakini hapendi kushiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.