Kuna mabinti watatu wanatafuta kazi
Umri ni miaka 21,20,18,
Elimu kidato cha nne,
Wanauzoefu wa kutosha na kazi zote za nyumbani.
Mimi nafahamia na binti mmoja huyo wa miaka 21, hao wengine ni wadogo zake.
Mshahara utategemea na ukubwa wa familia yako, kati ya 70,000/ mpaka 100,000/.
Wapo...