Bernard Kamillius Membe (born 9 November 1953) is a Tanzanian ACT-Wazalendo politician who was Minister of Foreign Affairs of Tanzania from 2007 to 2015. He served as a Member of Parliament for Mtama constituency from 2000 to 2015.
Nimeangalia mkutano wa Membe kule Kusini. Amewaambia wananchi wa Lindi wamuulize Magufuli maswali 4.
1. Wapo wapi watu wetu waliopotea? Yaani wale waliotekwa na hatuwaoni tena.
2. Wamuulize kwanini mikoa ya kusini imesahaulika kwenye miradi ya barabara
3. Kwanini hakuendeleza mradi wa gas
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.