Unaweza kusema ni mkoa unaokumbwa na matukio ya kutisha, pengine kutokana na eneo lake kijiografia na kijiolojia.
Huo ni Mkoa wa Kagera, ulio kaskazini magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi nne ambazo ni Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya kutoka Ziwa Victoria.
Mkoa huo umekumbwa na vita kati...