meza

The Meža (Slovene) or Mieß (German) is a river in the Austrian state of Carinthia and in Slovenia, a right tributary of the Drava. It is 43 kilometers (27 mi) long, of which 42 kilometers (26 mi) are in Slovenia. Its catchment area is 551.7 square kilometers (213.0 sq mi), of which 543 square kilometers (210 sq mi) in Slovenia.

View More On Wikipedia.org
  1. ndege JOHN

    Wabongo tunazingua sana eti mtu anampeleka mwenzake police kosa ni kuvunja meza.

    Sidhani kama nchi za nje mtu anaweza kushtaki police kesi ya umemvunjia meza pengine kwenye ulevi hukujitambua au bahati mbaya tu mashauri ya kumalizana ila unakuta mtu anaandaa mazingira iwe case.
  2. Satoh Hirosh

    Wanawake mkiwa Bar acheni kuvamia meza za watu msiowafahamu

    Jumapili Moja mida ya jioni nipo zangu home sielewi,’mwanangu’ mmoja akanicheki “oyaa Satoh upo wapi now?” Nikamjibu nipo home nimechill nacheki game ya Simba. Hiyo siku ilikuwa Simba inacheza na timu Moja(nimeisahau) club bingwa. Jamaa: Ibuka pande za bar X tuzibue vizibo mwanangu,nipo man...
  3. L

    Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

    Ndugu zangu Watanzania, Nimeona niseme haya mapema sana ili yakitokea ya kutokea CHADEMA wasije kuanza kusema wamehujumiwa na serikali au CCM. Kwa sababu mtu mvivu wa kutumia akili akipata tatizo huwa anakimbilia kutafuta majibu mepesi na rahisi, kama ambavyo amewahi kusema Baba wa Taifa Hayati...
  4. Uhakika Bro

    Je, Tanzania ni kiwanda kipi kinajishughulisha na uchongaji mawe kupata meza, vigae etc?

    Naomba kuuliza: Hizi rasilimali zote za milima na mawe je tunapondea tu kokoto? Au kuna kiwanda kinatengeneza bidhaa kama hizi. Tungeweza kutumia fursa kutengenezea fanicha imara sana. Mambo ya meza za jikoni, vigae na vitu luxury vinavyoweza kuchongwa toka katika mawe mojakwamoja, je...
  5. Pang Fung Mi

    Wanawake wamepindua meza ya mapenzi, kwa sasa wao ndio wanatawala mapenzi

    Shalom, Karibu kwenye anga za mapenzi Kucheza ni kuchezeshwa, kuchezewa, kuchezeshana. Patamu ni kuchezewa na meza kunduka wanawake wako juu kwa sasa. Zama hizi raha imepamba moto upande wa wanawake kwa sasa wanaume wamegeuzwa midori wanavurugwa na wanawake kwa kadri ipasavyo. Kwa wastani...
  6. G

    Haijaisha mpaka iishe, Simba tunaenda kupindua meza Misri, Tunaweweza!

    Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria. Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20. Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza...
  7. M

    Instagram inatajirisha sana wadada wajanja. kwa biashara ya Niagize China nikununulie mzigo wako. Wadada wa 2000 wamepindua meza ya kupiga hela

    Habari wadau. ukweli mchungu vibinti ya 2000 vijanja sana. hasa vilivyokuja na mbinu ya niagize china nikununulie mzigo wako. Instagram na social media zingine zinatajirisha sana watu wanaojua kuzitumia kwa faida yao. Mfano mdada wa miaka 23 anaejiita Kim china business. ameshusha mijengo...
  8. Mjanja M1

    Msaada kuhusu kodi ya meza

    Mtu ukiwa umeoa kila siku mezani unatakiwa kuacha kuanzia shingapi?
  9. Bata Boy Official

    Meza ya biashara Ilala, Karume au Kariakoo

    Kwema wakuu Nahitaji Meza ya kuuzia biashara yangu (nitaanza na mitumba) kwenye maeneo niliyoyataja, Ilala au Karume au Kariakoo. Nahitaji Meza hata kama ni ya kukodi kwa masaa kadhaa kwa siku, mfano kuanzia tisa mchana na kuendelea. Lakini pia kuna vile vibanda vya mbao au vya kuchomelea vya...
  10. KANOSAWA

    Nafasi za kazi AHB project

    Njoo kazini utapata nafasi Tunachakata taka (Recycling) Tunahitaji Waokotaji Taka (Waste Pickers), toka majiji na mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani. Mwisho wa Maombi 30/6/2024 Tupigie Tafadhali +255 789 753 808. Usitume Sms. Au tuandikie africahomebinahb@gmail.com
  11. Mjanja M1

    Madiwani walalamika uhaba wa Viti (Wanakaa Chini)

    Madiwani wa Halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi, wamelalamika kukosekana kwa meza na viti katika ukumbi wa mikutano na ofisi ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na kupelekea madiwani hao kukaa chini wafikapo katika ofisi hiyo huku wakidai kushindwa kuandika kumbukumbu pindi wakiwa katika vikao...
  12. Venus Star

    Mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na wadau wa Demokrasia tarehe 04 Januari 2024

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa mamlaka aliyopewa, alitoa maagizo kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu kuandaa mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa. Lengo la maagizo hayo lilikuwa kutoa fursa kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa...
  13. The Wolf

    Ukiona umepewa kiti kwenye meza ya wakubwa, jifikirie mara mbili

    Ninaandika hili nikiwa na maoni chanya kabisa kwa ajili ya nchi yangu. Napenda kumpongeza sana Speaker kuteuliwa kuwa kuwa president wa IPU. Ila Napenda kumkumbusha kuwa asije kuwa kibaraka against our national interest, wote tunajua kuwa hizi international organizations ni tools za mataifa ya...
  14. GENTAMYCINE

    Kwanini Wamachinga Wanawake Watatu wa Nzega waliandaliwa Meza yao, walikuwa Wanajiamini na hawajulikani sana hapo Sokoni Nzega?

    Halafu Director wa Movie hakumpa Mazoezi ya Kutosha Actress kwani kuna mahala alipokuwa akimhoji Mmachinga Feki wa Kike wa Nzega ( ambao Watu wa Mwenge na Makumbusho ) Dar es Salaam huwa Wanamuona alikuwa akiharibu kwa kila mara Kumuuliza kwanini Yeye ni Mrembo na ni Mmachinga? Actress wa Movie...
  15. F

    Watoto wa kishua walisumbua sana Dar miaka ya 90s. Via Social media na internet watoto wa uswaz wamepindua meza

    Habari wadau. Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s. Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua. Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini. Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu. Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma...
  16. Pascal Ndege

    Haiwezekani mwafrika na mzungu kukaa meza moja kutatua changamoto za Tanzania

    Haitakaa hata siku Moja wazungu wakakaa na Watanzania kumsaidia uchumi wa nchi bali watakaa watanzania na wazungu kuua uchumi wa nchi. Kwasababu kama wangekuwa na nia ya kuisaidia Tanzania wangeisaidia siku nyingi sana. Tanzania haiwezi kuwa na uchumi imara kwasababu wananufaika na umasikini na...
  17. Z

    Mkataba wa Bandari wanaoona ni mbaya na wanaona ni mzuri kaeni meza moja

    kwa nini wa africa tunapenda ugomvi ?kama mkataba bandari kati ya Tanzania na DP World kuna wanaona ni mkataba ni mzuri na wengine ni mbaya kwa nini wasiitane wakakaa pamoja wakaelewashana mambo yakaisha kuliko kutukanana na kupelekana police na mahakamani? wanaolumbana wote ni wantanzania...
  18. MAPITO Mwanza

    TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) aliyefuta uchaguzi 2015 na kupata umaarufu mkubwa, Jecha Salim Jecha leo amefariki Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na mwili wake utapelekwa Zanzibar kwa maziko. Jecha Salim Jecha alipata umaarufu mwaka 2015 baada ya kufuta matokeo...
  19. S

    Yanga anakwenda kutwaa kombe ugenini kwa kupindua meza kama alivyofanya Tunisia

    Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia. Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa...
  20. I

    Ikulu; bidhaa ya kibiashara Meza Kuu

    Wakuu. Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana. Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?
Back
Top Bottom