Sean John Combs (anajulikana kwa jina lake la kisanii Diddy,; amezaliwa 4 Novemba 1969)[1] ni Mmarekani mtayarishaji wa rekodi, rapa (mwimbaji), mwigizaji, mtengenezaji wa nguo za kiume, mjasiriamali na mchezaji ngoma shupavu.
Jina la kuzaliwa
Sean John Combs
Amezaliwa
4 Novemba 1969 (umri 54)...