Hili neno danguro lina maana gani?
Wiki hizi mbili katika hili sakata la wanaoitwa makahaba/madada poa nimelisikia linatajwa sana ila sijajua lina maana gani.
Wale wataalamu wa lugha, magwiji na wengine wenye ufahamu tufahamisheni maana ya danguro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.