Habarini za leo ndugu zangu, nimetafakari sana na katika pitapita zangu kwenye maktaba mbalimbali nimejiridhisha bila shaka kuwa nafasi za uongozi wa juu ni lazima zishikwe na mwanaume ili mambo yaende.
Na hakuna ushahidi duniani wa nchi yoyote iliyowahi kufanya revolution yoyote ya maana...
JINSI DHANA YA MFUMO DUME INAVYOWATAFUNA WANAUME
Wahenga walipata kusema kikulacho kinguoni mwako na hivi ndivyo ninavyoweza kuamua na kuhawilisha tafakuri yangu katika maisha ya mfumo tunaoutamania kuishi kwa kuzingatia kuwa binadamu wote ni sawa na tunapoutafuta usawa wa kijinsia ni kwamba...
Mfumo dume unapoingia kwenye mfumo jike ndipo ambapo mwanamke hudhalilika zaidi na hata kujidhalilisha. Sikutegemea mtu yeyote kudhani kuwa ukubwa wa matiti ndio sifa ya kuolewa. Inaleta shaka zaidi na maumivu makubwa kwa wanawake anapotamka hayo kiongozi wa nchi, tena mwanamke!
Aidha, ni vema...
Nina miaka 40 sasa lakini ndio naamka nashtuka kuona kwamba nilipoteza sana muda, pesa na sikuutumia vizuri ujana wangu. Ningewaza haya mapema ningekuwa mbali sana kimaendeleo hata kama si kwa pesa nyingi lakini ningekuwa nimepiga hatua kubwa.
NINI KILINIPONZA?
1. UVIVU NA NJIA MKATO
Shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.