mfumo wa sheria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kagoshima

    Kwanini polisi wameweka pembeni PGO na kuamua kukamata raia kwa kutumia nguvu kubwa? Je, nao hawaamini mfumo wa Sheria?

    Kuna mtindo mpya wa polisi napengine idara zingine za usalama kuvizia, kukimbiza raia wenye tuhuma za makosa. hata high profile citiezen ambao wangeweza kupigiwa simu na wange report kituoni bila shida nao wameonekana kukimbizwa kama vibaka. Na wakati mwinge wakiwa kwenye kundi kubwa na silaha...
  2. R

    Mfumo wa Sheria wa Tanzania unabagua Wahalifu kulingana na uwezo wa uchumi au cheo?

    Kweli, hili linaniogofya sana! Kuna hali isiyo ya kawaida katika utoaji wa haki hapa Tanzania. Hili linajitokeza hasa miaka ya sasa. Nimegundua wenye uwezo wa kiuchumi na vyeo serikalini huwa wanabebwa na kutoadhibiwa pindi wanapofanya makosa, tofauti na miaka ya nyuma. Kuna mifano hai...
Back
Top Bottom