Kuna mtindo mpya wa polisi napengine idara zingine za usalama kuvizia, kukimbiza raia wenye tuhuma za makosa. hata high profile citiezen ambao wangeweza kupigiwa simu na wange report kituoni bila shida nao wameonekana kukimbizwa kama vibaka.
Na wakati mwinge wakiwa kwenye kundi kubwa na silaha...
Kweli, hili linaniogofya sana! Kuna hali isiyo ya kawaida katika utoaji wa haki hapa Tanzania. Hili linajitokeza hasa miaka ya sasa. Nimegundua wenye uwezo wa kiuchumi na vyeo serikalini huwa wanabebwa na kutoadhibiwa pindi wanapofanya makosa, tofauti na miaka ya nyuma.
Kuna mifano hai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.