mgawanyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NetMaster

    Wakristo wengi huhofia mali kugawanywa pasu kwa pasu ndio maana hawaachani hata wakifumania wake zao

    Kwa waislam wengi mambo ya kuvunja ndoa yanamalizwa kimya kimya bila hata mahakama kuhusika, wapo wanawake wanaoenda mahakamani kudai haki za mali lakini ni wachache. Kwenye ukristo shughuli ipo tofauti, ndoa hadi inavunjika hapo ni kwamba mahakama imehusika na imeshatoa hati ya ndoa...
  2. B

    Msaada wa kisheria kuhusu mgawanyo wa fedha za malipo ya marehemu

    Habari humu ndani naomba kupata mwongozo kidogo Baba yangu alikuwa na mji hapa dar na amefariki sasa mji wake umetwaliwa na TRC kwa ajili ya ujenzi wa SGR sasa malipo yake ndio naitaji kujua mgawanyiko wake unakuwaje tuko watoto sita na mama , kuna jambo moja nataka kuongeza hapo sisi watoto...
  3. Z

    Waziri Mhagama, Mgawanyo wa watumishi Uzingatie uwiano

    Waziri wa Umishi wa umma Jenista Mhagama amesama kuwa wameweka utaratibu utakao wezesha mgawanyo wa rasilimali watu ktk maeneo yote ya nchi hii na sio kama ilivyo hivi sasa, mfano shule ya Wilaya ya Muleba vijijini ina mwalimu mmoja anaye fundisha zaidi ya masomo 11 lkn wakati huo huo kuna shule...
  4. M

    Kuelekea Valentine Day huu ndiyo Mgawanyo wangu wa Salamu za Upendo kwa Wahusika Wote

    Mwenyezi Mungu 50% Wazazi Wangu 40% Walimu na Wahadhiri wangu 4% Simba SC yangu 3% Wapenzi wangu wa Kubaiolojiana 1% Marafiki zangu 1% Maadui zangu popote 0.5% Wachawi Wanaoniroga Usiku 0.5% Happy Valentine's Day nyote hapa JF.
  5. J

    Mgawanyo wa majukumu katika utendaji wa Wizara

    MGAWANYO WA MAJUKUMU KATIKA UTENDAJI WA WIZARA Watanzania kwa Muda mrefu tulikuwa na hamu kubwa ya kuona Mgawanyo wa madaraka na Majukumu katika utendaji Kazi katika Serikali. Kuna Jambo kubwa sana la kujifunza na kujivunia kwa Rais wetu Mpendwa @SuluhuSamia jinsi anavyoongoza na alivyowapa...
  6. K

    Tamisemi kuweni makini na yanayoendelea kwenye mgawanyo fedha za ujenzi za kujengea Hospitali na Shule

    Habari wanajukwaaa. Mimi ni mdau wa elimu na pia wa maendeleo ya wananchi kwa nimekuwa mfatiliaji mzuri wa maswala ya ujenzi hasa kipindi hiki ambacho tamisemi kupitia Rais wetu Samia Suluhu wamezamilia wanafunzi wote watakaoanza kidato cha kwanza mwakani waripoti wote.Lakini nimegundua...
  7. J

    Mgawanyo wa Afrika Mashariki ya awali ulikuwa Tanzania Siasa, Kenya Viwanda na Uganda Elimu

    Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977. Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano. Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu Je, tumebadilika? Jumaa kareem!
Back
Top Bottom