mgeni

Mgeni Jadi Kadika (born 1957) is a Tanzanian member of parliament for the Civic United Front.

View More On Wikipedia.org
  1. SamBug

    Hello JF: Mgeni. Njoo mwenyeji apone

    Habarin wakuu Mimi ni Mgeni JF naomben mnipokee kwe Moyo mkunjufu Nina Imani tutakuwa pamoja . Heshima Kwa wakongwe wa jukwaa .#GOD is good all the time 💯
  2. tpaul

    Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

    Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Kwanini mgeni akiulizwa "unaondoka lini" inakuwa nongwa?

    Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika. Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani. Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa 😂😂😂😂😂
  4. Samsung_Store_Tanzania

    mgeni mwenyeji mnipokee

    habari zenu wakuu nimerudi tena mgeni mwenyeji kwa shamra shamra ndelemo na vifijo,, naomba mnipokee tena pia kama utahitaji brand new Samsung phones from authorized samsung dealer msisite asante sana .
  5. Vugu-Vugu

    Rais Samia mgeni rasmi "KiziMkazi Day" Festival Visiwani Zanzibar Jumamosi Agosti 28

    Rais Samia kuwa mgeni rasmi KiziMkazi 2021 Festival- MJI MPYA __________________________________ Huu ni ushahidi mwingine wa Unyenyekevu Uliopitiliza wa Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa JMT, #KisiMkazi Festival, Ni kongamano la Vijjii viwili vinaungana kudumisha mila,desturi na tamaduni zao...
  6. TheDreamer Thebeliever

    Nataka kwenda kuwekeza kampuni ya ujenzi nje ya Tanzania ni nchi gani nzuri na taratibu zake zipoje kwa muwekezaji mgeni?

    Habari wadau..! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nipeni mawazo nikawekeze nchi gani,wajuzi mtupe taratibu za uwekezaji wa kamapuni ya Building and Civil katika nchi husika.
  7. Jacobus

    Fainali ya ASFC Kigoma mgeni rasmi angekuwa Rais wa nchi

    Najaribu kuamini kuwa Rais SSH ni mpenda soka ila upande wa Simba au Yanga ni siri yake. Ile mechi ya ligi ya tarehe 3/07 hakupaswa kwenda uwanjani na kuwa mgeni rasmi kwani ilikuwa mechi tu ya kawaida ya ligi. Mechi aliyopaswa kuwa mgeni rasmi ni hii ya kesho tarehe 25/07 kwani ina umuhimu wake.
  8. J

    " Anaupiga mwingi" maana yake nini? Mi ni mgeni hapa CHADEMA

    Nasikia makamanda wakilitumia sana hili neno kwamba Tundu Lisu " anaupiga mwingi" so kama member mgeni wa hapa Ufipa naomba ufafanuzi wa hii kauli ya Anaupiga Mwingi. Peoples.........!
  9. kavulata

    Kusema ukweli VPL ni kama iliisha tarehe 3 Julai 2021 mbele ya Rais Samia

    Timu zetu 4 kufanikiwa kwenda kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao ni kama vile yamemaliza kiu ya kuwa bingwa kwa msimu huu. Mshindi wa kwanza na wapili wa VPL hawana tofauti kubwa maana tofauti kati ya zawadi ya mashindi wa kwanza na pili hairushi roho washindi wa pili, ni ndogo sana...
  10. Erythrocyte

    #COVID19 Zanzibar: Kila Mzanzibar anayetaka Chanjo ya COVID-19 atapata, hakuna mgeni ataingia bila cheti cha Vipimo vya Corona

    Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya wa serikali ya Mapinduzi , Mh Nassoro Mazrui , lengo ni kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu Bado haijafahamika kama wageni kutoka Tanganyika nao watahusishwa au la . Chanzo : ITV ==== WANAOINGIA ZANZIBAR SHURTI CHETI CHANJO YA COVID-19...
  11. CrazenKai

    Mgeni, Naomba Kukaribishwa

    Hi, CrazenKai naomba kukaribishwa. In love with Games, PC's & Music.
  12. Fohadi

    Mambo ya kufanya ukiwa ugenini

    Huu ni uzi maalum kwajili ya kukumbushana baadhi ya vitu vidogo vidogo ambavyo huwa tunavipuuza lakini kuna muda vinaweza kutucost sana na kutusababishia matatizo. Inaweza ikawa iliwahi kukutokea wewe au jirani yako. Binafsi naanza kwa kuwapa mbinu mbili:- 1. Ukiwa ugenini au sehemu yoyote...
  13. D

    Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

    Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae! Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani! Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!! Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)...
Back
Top Bottom