mgodi

Mgodi (English: Hole) is the fourth studio album by South African musician Zahara. It was released on October 13, 2017, through Warner Music. It features production from Mojalefa Thebe.
The album was a best-seller, attained gold certification in six hours and then achieving platinum status 20 hours after release by the Recording Industry of South Africa (RiSA).At the 24th ceremony of South African Music Awards Mgodi was nominated for best Afro-pop Album category.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Wizara ya Madini yaendelea kutoa darasa la kutumia mfumo wa ‘Monorope System Winchi’ kutoa udongo kwenye mgodi

    Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini kwa kushirikiana na Kampuni ya Kidee Mining Ltd wanaendelea kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo na wa kati wa madini wanaotembelea Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea kwenye viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma, namna ya kutumia...
  2. M

    Vodacom na huduma za kukopesha-Mgodi na Mpawa

    MIe kama mteja wa muda mrefu wa Voda nimepata na ukakasi kidogo, ni hivi hawa jamaa mara nyingine unakuta deni limelipwa wao hawajakata, wanaendelea kulitambua deni na muda unafika wanakupiga fine. Ukiwa unafuatilia utalijua hilo na bado watachukua muda mrefu kurekebisha bila ya kukurudishia...
  3. Megalodon

    BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

    Rate ya BoT kwenye kampuni za kukopesha ni 3.5% as a guidance issued by BoT. A simple study imefanyika kwenye mikopo ya Vodacom kupitia Mpesa and there is huge deviation which is believed to be against BoT guideline. 1. Informant amekopa kiasi cha 84,800, Mgodi huwa wanakata kwanza riba yao...
  4. Roving Journalist

    Waziri Masauni na Waziri Mavunde wawasili Mara kwa ajili ya mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, leo tarehe 30/5/2024 wamewasili Mkoani Mara kuelekea Wilaya ya Tarime kwenye mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara. Pia soma Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi...
  5. B

    Mgodi wa Barrick Bulyanhulu waongezewa muda wa leseni ya uchimbaji

    Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba (kushoto) akimkabidhi leseni ya kuongezewa muda wa uchimbaji wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido katika hafla hiyo , wanaoshuhudia nyuma (kushoto) ni Waziri wa Madini, Mh.Antony Mavunde na Mkuu wa...
  6. Lycaon pictus

    Hivi ndiyo kusema mgodi wa Mwadui umetoa pesa kiasi hiki!?

    Wakati wa kutekeleza Azimio la Arusha serikali ilichukua hisa asilimia 50 za mgodi wa Mwadui. Sasa ikaonekana wafanyakazi wa serikali mgodini pale wanalipwa pesa nyingi sana na Nyerere alitaka kuweka usawa katika kipato cha watanzania. Basi wakataka kuwashushia mshahara na wakapanga wapate...
  7. B

    Barrick yafungua chuo cha kimataifa barrick academy katika mgodi wa buzwagi uliofungwa

    Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde, ameipongeza Kampuni ya Dhahabu ya Barrick ambayo inaendesha shughuli zake nchini kwa ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals, kwa kufanya uwekezaji unaoendelea kuchangia kukuza uchumi na kufanikisha miradi ya kijamii ambayo inaendelea koboresha...
  8. B

    Kamati ya Bunge ya nishati na madini yatembelea mgodi wa Barrick North Mara, yavutiwa kwa kuendeshwa kwa viwango vya kimataifa

    Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido (katikati) akitoa ufafanuzi katika kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilipotembelea mgodi wa Barrick North Mara ,(kushoto) ni Meneja wa mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko,(kulia) ni Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa mgodi...
  9. MKATA KIU

    Misso Misondo ni mgodi wa kuvuna hela nje ya nchi. creativity yake ikipata promoters wazuri inauzika dunia nzima

    nilikuwa namchukulia poa misso misondo wakati anatrend mwanzoni. ila nimegundua sio mtu poa huyu kijana. kila siku anabuni biti mpya na unakuta kali kuliko ile ya zamani. ushauri wangu kwake ajiongeze apate mtu wa kumuandikia na mistari kidogo tena iwe ya kiswangilish.. kiingereza kwa mbalii...
  10. JanguKamaJangu

    SIMIYU: Watu zaidi ya 22 wapoteza Maisha kwa kufukiwa na kifusi baada ya Mgodi kutitia Wilayani Bariadi

    Ndugu zangu kuna taarifa nimezipata kuwa inadaiwa kuna Mgodi umetitia kutokana na mvua zinazoendelea Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu na Watu kadhaa kufukiwa. Mgodi upo Kijiji kinaitwa Ikinabushu, details za jina na kilichotokea zaidi bado sijazipata. Mliopo karibu na Bariadi tupeni taarifa...
  11. Roving Journalist

    Mara: Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu CATA MINING warejesha mgomo, walala ofisini wakisubiri mshahara

    Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu CATA MINING ulioko Kijiji Katalyo, Wilaya ya Butiama wamerejea kwenye mgomo na wakulala ofisini wakishinikiza Mwekezaji wa Mgosi kulipwa mshahara na malimbikizo, ikiwa ni wiki moja tu tangu walipositisha mgomo baada ya kuahidiwa kuwa watalipwa Januari 11, 2024...
  12. Roving Journalist

    Mara: Uongozi Mgodi wa Cata Mining wasema utawalipa Wafanyakazi wake waliogoma kwa kutolipwa mishahara

    Siku chache baada ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu, CATA MINING ulioko Kijiji Katalyo Wilayani Butiama Mkoani Mara kufanya mgomo wakishinikiza kuliwa mshahara wao wa miezi miwili, uongozi wa Mgodi umetoa ufafanuzi. Mbali na Mishahara wafanyakazi hao wanadai michango yao katika mfuko wa...
  13. K

    DOKEZO Wafanyakazi mgodi wa CATA Mining Mara, waanza mgomo kushinikiza kulipwa mishahara, michango NSSF

    Wafanyakazi wa mgodi wa Dhahabu CATA MINING uilioko Kijiji Katalyo Wilayani Butiama Mkoani Mara, wameanza mgomo wa kutofanya kazi na kuamua kulala katika ofisi za mgodi huo, wakishinikiza uongozi wa Mgodi kuwalipa malimbikizo ya mishahara yao. Mbali na Mishahara wafanyakazi hao wanadai michango...
  14. Magesajr

    Wachimbaji wadogo wa mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe wapewa siku sita waondoke

    Habari wana jambi! Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo. Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine...
  15. Mjukuu wa kigogo

    Mchimbaji mdogo akiwa na mgodi wake.....

    Mmoja wa wachimbaji wadogo wadogo akiwa kanaswa na Camera yetu kwenye mgodi wake.
  16. Hyrax

    Vodacom huduma ya MGODI wanazingua sana

    Line yangu ya Vodacom haina deni nimejiwekea akiba yangu ya milioni 1 huko mgodi nataka kutoa toka last week pesa haitoki nimewapigia huduma kwa wateja option ya kuongea na watoa huduma siipati. Mwenye uzoefu kwenye hii changamoto naomba msaada.
  17. chiembe

    Wamwiduka Band ni mgodi wa vipaji, wimbo wao wa NEMC umependwa Afrika nzima

    Kama wangekuwa au wana akaunti YouTube, wangekuwa na mamilioni ya viewers na wangekuwa wanajiandaa kuvuna mamia ya mamilioni. Nadhani watu wameona kipaji cha muziki cha hali ya juu, ni wazi Watanzania na Waafrika wamechoshwa na nyimbo za ovyoovyo za wasanii wetu, wanataka vionjo vya Kiafrika...
  18. Dr Matola PhD

    Mgodi wa makaa ya mawe unahitajika haraka

    Kuna tangazo humu niliona kuna kampuni wanauza site za migodi mbalimbali ya graphite na makaa ya mawe ila nimejaribu kusearch thread sijaipata. Well Nina offer hiyo kwa anayemiliki mgodi wa makaa ya mawe na kuna geology report hebu tuwasiliane tufanye biashara. Karibuni.
  19. mama D

    Mwekezaji kwenye uchimbaji wa dhahabu anahitajika

    Habari ya muda huu GreatThinkers Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35. Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo ambayo aliipata toka kwa local company. Heka 5 tayari zimeshatengwa kwaajili ya uchimbaji (binafsi) na...
  20. Replica

    Shanta Gold yaanza uzalishaji wa dhahabu kwenye mgodi wa Singida

    Kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Shanta imesema imepata dhahabu yake ya kwanza kwenye mgodi wake wa Singida yenye uzito wa wakia 35 baada ya kufanya uchenjuaji. Wakia 35 za dhahabu zilizalishwa huku nyingine 500 zikiwa kwenye mchakato. Mkurugenzi wake, Eric Zurrin amesema hii ni hatua kubwa kwa...
Back
Top Bottom