Ili kumaliza mgogoro DRC jumuiya ya kimataifa LAZIMA ifanye yafuatayo:
1. DRC iwatambue na kuwakubali raia wake wenye asili ya makabila ya nchi nyingine. Kama vile Tanzania ilivyoyatambua makabila ya wamasai, wasegeju, wajaluo, wapare, wahaya, wamakonde, wamanyema.
2. Rwanda na Uganda izungumze...