mgomo kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Replica

    Wafanyabiashara Moshi Wagoma

    Maduka yote ya Stendi Kuu ya Moshi mkoani Kilimanjaro yamefungwa leo kutokana na mgomo wa wafanyabiashara hao ambao wanadai Kodi inayotozwa stendi hapo ni kubwa isiyo rafiki. EATV imeshuhudia uongozi wa Manispaa ya Moshi ukipachika kipeperushi kwenye kila duka kilichoandikwa, "PAMEFUNGWA NA...
  2. Cute Wife

    Chalamila: Wafanyabiashara Kariakoo hamkupaswa kwenda CCM

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipo, mlipaswa kuja hapa kwa kuwa ndio tunaolisimamia na siyo huko mlikokwenda," amesema Chalamila. Wafanyabiashara hao zaidi ya 800 jana Alhamisi Julai 11, 2024, waliandamana kutoka Uwanja wa Mnazi Mmoja kwenda ofisi za CCM Lumumba, kupinga kuondolewa kwa wafanyabiashara...
  3. Cute Wife

    DC Ilala awatuliza wafanyabiashara Kariakoo, kukutana na Chalamila kesho

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewatuliza wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo, walioandamana hadi ofisi ndogo za CCM Lumumba. Amewaahidi kesho Julai 12, 2024 watakutana na Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kujadili...
  4. Analogia Malenga

    Kwanini TRA wasigawe EFDs badala ya kuziuza?

    VAT ni kifupi cha Value Added Tax. Ni kodi inayotozwa kwenye bidhaa, huduma, na mali isiyohamishika ya shughuli yoyote ya kiuchumi wakati thamani inapoongezwa katika kila hatua ya uzalishaji na hatua ya mwisho ya mauzo. Viwango ni 18% kwa usambazaji wa kiwango cha kawaida, na 0% kwa mauzo ya...
  5. econonist

    Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

    Wakati Rais Samiah akiwaapisha Viongozi Jana , Kuna mambo matano aliyasema kwenye hotuba yake ambayo yalinisikitisha. 1. Jambo la kwanza Rais kadai mikopo inaifanya Tanzania inyayasike Nimehuzunika Rais anapokiri ya kwamba mikopo tunayokopa inatufanya tunyanyasike. Huyu ni udhaifu mkubwa wa...
  6. Wakusoma 12

    Maafisa TRA wachunguzwe mali wanazozimiliki na vyanzo vya mapato yao kama vinaendana

    Taasisi nyeti kama hii haziwezi kuongozwa na wahalifu. Vijana wanatumia Sheria mbovu za Kodi kujitajirisha na kuleta adha kubwa kwa uchumi wa nchi na wafanya biashara. Kulingana na maoni ya watu wengi maafisa wa TRA wamekuwa wakikadiria Kodi kubwa wafanyabiashara nje ya utaratibu ili...
  7. peno hasegawa

    Ukipinga Kodi kwa kufunga duka unamkomoa nani? Tujifunze kwa Wakenya

    Ninaendelea kumsikiza! "Yaani sisi Tanzania tunapinga kodi kwa kufunga maduka, wakati wenzetu Kenya wameandamana. Ukifunga duka unamkomoa nani? Usifikiri kwamba unaikomoa serikali, sababu wataendelea kukusanya makato ya mikipo mliyochukua. "Serikali haikomoleki, andamaneni mdai haki zenu...
  8. Mayor Quimby

    Sakata la mgomo wa wafanyabiashara; Je, mawaziri wa Fedha na Mipango wanatosha?

    https://m.youtube.com/watch?v=xEU5GWcrF_A Msikilize huyu bwana ambae amejaribu kukuza mambo not knowing kwa mujibu wa sheria anayosema ni matatizo. Kutotunza nyaraka na kuwapa TRA deni, ambalo wakitaka kulihakiki sehemu nyingine duniani umejitafutia matatizo makubwa sana...
  9. Jidu La Mabambasi

    Tetesi: Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika

    Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao. Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na...
  10. and 300

    Tunashukuru Mgomo Kariakoo umekwisha salama

    Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
  11. ChoiceVariable

    Serikali msihangaike na madai ya wafanyabiashara ambayo hayatekelezeki. Njaa itawarudisha sokoni

    Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa. Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu. Huwezi ukajua na madai ya kipuuzi na yasiyo na msingi.Madai Yao ni Kodi ambazo zimekuwepo Toka enzi ya Mkapa alipoleta VAT...
  12. Manyanza

    Aliyoyaandika Boniface Jacob: Siri na sababu ya mgomo kuendelea Kariakoo

    1. Malumbano kati ya Waziri wa fedha na Kamishina wa Mapato TRA Msimamo wa Kamishina kuhusu kero za wafanyabiashara ni kutekeleza sheria wala siyo maagizo ya wanasiasa wa ngazi yoyote. Kamishina TRA amewaambia Wafanyabiashara mara kadhaa mkitaka tuache kufanya kazi ambazo nyie...
  13. W

    Mgomo wa Wafanyabiashara wafika Mbeya, Mwanza, Dodoma, Arusha, Mtwara, Tunduma, Iringa

    Manzese Picha ikionyesha baadhi ya maduka eneo la Manzese Tiptop, jijini Dar es Salaam leo asubuhi Jumatano Juni 26, 2024 yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea katika baadhi ya mikoa nchini. Madai ya wafanyabiashara ni pamoja na utitiri wa kodi unaotozwa na Mamlaka...
  14. Manyanza

    Aliyoandika Boniface Jacob kuhusu mgomo wa wafanyabiara Kariakoo

    Imeandikwa na Boniface Jacob 1. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao zaidi ya 10 na mamlaka ya mapato TRA, hawakupata majibu. 2. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao na serikali kupitia Mkuu wa wilaya ya Ilala wakiomba Waziri wa fedha afike kuwa sikiliza lakini Waziri wa fedha...
  15. hp4510

    Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

    Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF Me naona nimeseme neno moja tu Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani? Kuwadekeza hawa kutaibua...
  16. Huihui2

    Mgogoro wa Kariakoo vs TRA; Tatizo Siyo Kodi Bali Matumizi Mabaya ya Kodi

    Ikumbukwe kuwa nchi huendeshwa kwa kodi. Bila kulipa kodi hakuna maendeleo na huduma za jamii. Pia, ili biashara iweze kukua sharti ilipe kodi kulingana na ukubwa wake. Iwapo utalipa kodi kubwa kuliko kipato chake, biashara hiyo itakufa. Sio rahisi duniani kukuta nchi haitozi tozo au kodi...
  17. FRANCIS DA DON

    Je, kuna ubaya gani TRA wakifungua biashara Kariakoo kwa muda wa mwaka mmoja ili kujua namna ya kuboresha sera za kikodi?

    Binafsi naamini ni ngumu kwa TRA kuelewa hali halisi inayolalamikiwa bila kufungua duka la majaribio Kariakoo. Walipe Kodi zote stahiki, na wasiuze chochote bila kutoa risiti, watoe risiti na wadai risiti kila wanaponunua. Wasijipe upendeleo wa aina yeyote na wasitoe rushwa, halafu tuone kama...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Migomo kuelekea uchaguzi inahitajika, watarudi wenye maarifa na hekima

    Mpo salama bila shaka. Inapotokea migomo ya nyakati hizi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ni muhimu kuiendea kwa umakini. Wanasiasa wanaelewa nazungumzia nini. Watatuzi wa migomo lazima wawe na ujuzi, uwezo na hekima za kuongea mbele za Watu. Sio unachagua mtu asiye na...
  19. S

    Chalamila ni aina ya kiongozi anayetumia rungu kuua mbu, adhibitiwe kabla rungu lake halijaeleta maafa sehemu nyeti za mwili!

    Kuna ule usemi kwamba ukiwa na mtu ndani ya nyumba yako, akaamua kutumia rungu kuua mbu bila kujali mbu yuko sehemu gani. Sasa waswahili wanasema, kuna siku mbu anaweza kutua sehemu nyeti ya mwili, na muuaji mbu kwa rungu ataleta madhara makubwa! Sasa naufananisha utendaji wa Chalamila na kauli...
  20. Cute Wife

    Mfanyabiashara asimama kidete dhidi ya Chalamila, tusije kusikia amechukuliwa na watu wasiyojulikana

    Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake. Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa. Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali...
Back
Top Bottom