Yani nimetoka nyumbani kufufuata mahitaji yangu soko la Mbagala hakuna biashara zaidi ya wamachinga.
Mbagala biashara zote nafaka, elektroniki madukaa mengine yote yamefunga.
Madhara kwa wote
Wafanyakazi, bodaboda, bajaji, guta(toyo) wasukuma mikokoteni, na watu mbalimbali hawana cha...